Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
aisee hili gari baya hata den mkaree atasusa kuingia kumtoa out
Tatizo ya hizi gari base model na full loaded model hazina tofauti sana lakini bei ndio shida...Halafu kuna kenge anasema yamejaa
Tatizo ya hizi gari base model na full loaded model hazina tofauti sana lakini bei ndio shida...
So unaweza kuta mtu ana base model ambayo bei yake inaweza kuwa hata chini ya nusu ya hiyo bei iliyowekwa hapo
Ni kweli kabisa mkuu. Mimi binafsi hata hizi features kama Push to start, gear knob, automatic parking assistance, sensors n.k huwa havininogei kabisaaa. Gari zinakuwa kama game console au cockpit ya ndege.Ila wanako ilekea wataondoa mpaka hizo sterringi. Gari bila kupachika gia sita injoy huo mwaka wa kumiliki mabeki 3 watahisika kuziendesha
Kama wewe ni Dobi inawezekana umeitumia uzoefu wako wa kazi kulitambua Povu.Ila mkuu kama povu hili..
Kuendesha gari ni burudani kama ilivyyo kucheza mpira kwa mimi asa mechi tatu hujapigoli walau upige matobo basi ndo raha.Ni kweli kabisa mkuu. Mimi binafsi hata hizi features kama Push to start, gear knob, automatic parking assistance, sensors n.k huwa havininogei kabisaaa. Gari zinakuwa kama game console au cockpit ya ndege.
Waache tupambane na kirungu cha gia na kuingiza funguo tuisikie ile tanyonyonyooo...
Kabisa mkuu.Kuendesha gari ni burudani kama ilivyyo kucheza mpira kwa mimi asa mechi tatu hujapigoli walau upige matobo basi ndo raha.
Kuendesha gari nzuri ni raha sana raha zaidi mikono na miguu ishughulike ndo rubudani et.
Et mama eeh nakubali.Hizo gari zinanunulika tatizo ni nchi ya kodi hii watakufurahisha.......
Lini sasa na mda wenyewe unaenda kasi acha kuota ndoto za mchana piga kaziOne day yes
Hizo gari zinanunulika tatizo ni nchi ya kodi hii watakufurahisha.......
Point of correction mkuu extrovert,body zake zilianza kubadilika kuanzia mwaka 2014 na si mwaka 2013We hujui gari ndio maana unaropoka, range zipo nyingi ila sio hilo toleo la 2018. Taa zake na rim ni tofauti na matoleo ya nyuma pia infotainment system yake ni full touchscreen.
Ukumbuke kuwa muundo wa hizo range rover hutofautiana kwa miaka.Mwaka 2013 ndio design mpya ya body ilitoka so range zilizofuata zote zilikuwa na muonekano mpya. Unaweza kuta unaongelea wingi kupitia matoleo ya 2013-2015 maana nyingi ndio zipo affordable hapo.
Hukunielewa au umekurupuka nime quote post na nilikuwa namjibu mtu aliyesema ameziona nyingi mpaka zinatia degedege barabarani ndiyo nimemwambia hili ni toleo jipya ni mwezi tu umepita yeye ameziona wapi huko barabarani nyingi?Nenda kakojoe ulale, hii mada ni nzito sana kwako.
Muingereza ndio katengeneza gari lenye left steering?
Swali langu limetokana na post #1
Hapana, muingereza anatengeza za right hand drive.
Hilo ni Range Rover Velor kwa ndani.
Range Rover Vogue ya mwaka 2018 RHD kwa ndani