Lakini kwanini unazani RR ina bei zaidi ya V8 na kwanini haziuziki sana Europe kuliko Rover!?..simply Rover ni mbabemkuu kwenye fifth gear ilifanywa test ya rr vogue 2017 na land cruiser ilishinda kila kitu kasoro . sura
wewe ndo huwez jua, ila wanao jua magar ndo wanajuaTatizo la hawa range rover yaan hata ya mwaka 2015 na hii tofauti ni ndogo sana so hata mtu akiiona kwa nje hawezi jua ipi ni ipi
velar ilitengenezwa kwa soko la watu wasio na uwezo na vogue but wanapenda luxury mahsusi zaidi india...
Mkuu Copenhagen
Kuna hili la Velar toleo jipya la 2018 ambalo vitasa vya milango yake vinafunguka kama wataka kuweka CD ndani.
Ila hili la Velar limetengenezwa kistadi pia kwani ukizima injini yake basi huwei kulisukuma kwa kuondoa "handbrake".
Lipo katikati ya Evoque na Sport kwa muundo wake.
Nadhani limewalenga wezi wa magari wakijaribu kuipa wasiweze kuliondoa.
Lakini ukiangalia bei zake zinatofautiana sana wakati Vogue inaanzia pauni 79000, hili la Velar linaanzia pauni 44000.
Hivyo kwa wapenzi wa Land Rover hasa hizi za sport wataweza kuangalia tofauti hiyo ya bei.
sikia kua kwa bei kubwa kwa gari sio ubora mfano huu kama unazifahamu hypercar tatu kubwa duniani ambazo ni hybrid ambazo ni ferrari la ferrari hp 950 [HASHTAG]#mclaren[/HASHTAG] p1 hp 901 [HASHTAG]#porsche[/HASHTAG] 918 hp 88ish zilifanyiwa test nurburgring na porsche ikashinda also ukiangalia bei ya porsche ndo ilikua cheap soo bei kigezo....Lakini kwanini unazani RR ina bei zaidi ya V8 na kwanini haziuziki sana Europe kuliko Rover!?..simply Rover ni mbabe
Huku kwetu tunaita wezereAtashikwa hata masaburi
Liko sawaMzuqa Wanajamvi,View attachment 689827
Muingereza mshenzi sana. Hii renji Vogue 2018 ni nouma. Yani nje Na ndani Ni sheeda. View attachment 689828 Desh board Ni touch screen. Yani Muingereza Maamae kwa hili gari namuheshimu Sana. Cheq Hapo chini video Na picha.View attachment 689829 View attachment 689830 View attachment 689831 View attachment 689832
Nenda kafie mbele huko. Nikushutumu mawazo yako mimi nakujua!Ndio maana nikasema "kwanza"usiwe mwepesi wa kushutum mawazo ya wengine siku ikifika itaendeshwa hata nilivyo navyo sikuzaliwa navyo take easy
Mtulia katika ubora wakoUtabakia hivyo hivyo kijana! Hatari yake iko wapi? Hiyo migari mbona imejaa barabarani Bongo mpaka inatia degedege! Hizi ndio athari za kukaa utumwani.
Shithole Idiot!Mtulia katika ubora wako
Njoo ulime tikiti mkuu utimize ndoto ya kumiliki hata vitz,hapo lumumba mwisho utaolewa kwa kupenda kitongaShithole Idiot!
Seems kuwa na Perfomance kubwa haijawa kigezo sana kwa wenzetu!..Thats why Toyota anakua anaonekana brand yake sio Ultra luxury category cars, alipoangalia atalitekaje soko lao akaamua kuja na brand mpya kuliteka soko la Europe na America akaintroduce LEXUS na ukiangalia Lexus inauza sana kwa sasa America&Europe kuliko Ford, BMW au Benz!..sikia kua kwa bei kubwa kwa gari sio ubora mfano huu kama unazifahamu hypercar tatu kubwa duniani ambazo ni hybrid ambazo ni ferrari la ferrari hp 950 [HASHTAG]#mclaren[/HASHTAG] p1 hp 901 [HASHTAG]#porsche[/HASHTAG] 918 hp 88ish zilifanyiwa test nurburgring na porsche ikashinda also ukiangalia bei ya porsche ndo ilikua cheap soo bei kigezo....
mkuu...
Naipenda sana ila yenyewe sijui kama inanipendaNapenda aisee.
Wewe jee?
velar ilitengenezwa kwa soko la watu wasio na uwezo na vogue but wanapenda luxury mahsusi zaidi india...
Hahaaaa. Aisee.Naipenda sana ila yenyewe sijui kama inanipenda