Hehhehe,i like the work out in replies....mbna mnapanic...chillaxxxx guys JD dsnt even know who we are...
Basi tufanye mmeshinda nyie,sawaa eeeh
una wivu we mdada .jide comando yuko juu.usituletee habary ya hivyo vi celebrity vyako uchwara unavyovitetea hapa. yani kukaa uchi ndio usexy? kuna wanawake wanavaa kanga tu au baibui and they look so sexxy...!
Hehhehe,i like the work out in replies....mbna mnapanic...chillaxxxx guys JD dsnt even know who we are...
Basi tufanye mmeshinda nyie,sawaa eeeh
mkuu warumi, hapo ndipo utajua akili za wabongo zimelalia wapi. Wanadhani mikorogo na mikogo ndio mafanikio! Jay Dee ana kitu kimoja ambao wengi hasa huku Africa tunakikosa ambacho ni akili na mtazamo chanya. Ukamilifu wa binadamu uko kwenye fikra zake, na hao wanaoongelea sijui 'sexy', 'attractiveness' na ujinga mwingine kama huo wajiulize kuna wacheza filamu wangapi Tanzania kisha wamgeukie Lupia Nyong'o na wasema ana sura gani! Tusibobadilika tutaendelea kupuuzwa na dunia.Ndio she is not attractive ila kashaolewa, ni muke halali ya Gardner,anamiliki mgahawa wa kisasa kabisa unaitwa Nyumbani lounge ,unapajua wewe?, anamiliki studio ya music,pia anamiliki nyumba ya kisasa kabisa ,unajua ana miliki magari mangapi? Ukiachilia mbali Yale ya band yake? Mimi naishia apo, can u help to mention at least one thing ambavyo hao mademu zako wanamiliki? Achilia mbali kuolewa
Not a big Jaydee fan.
Ila nimependa the relatively ecofriendly choice, with a 2300 cc engine, this baby is better than an Altima in that regard.
Unlike some celebrities (Raila Odinga) who would show their lack of regard for the environment by hammering us with a Hummer.
I actually considered this, until my neighbor surprised me with the Range Rover Sport. And I can't stand looking like a copycat keeping up with the Joneses.
Shaggy would have complained with a song.
"Everyting whey Shaggy do, crowda people falla me..."
Cc: Nyani Ngabu
Not a big Jaydee fan.
Ila nimependa the relatively ecofriendly choice, with a 2300 cc engine, this baby is better than an Altima in that regard.
Unlike some celebrities (Raila Odinga) who would show their lack of regard for the environment by hammering us with a Hummer.
I actually considered this, until my neighbor surprised me with the Range Rover Sport. And I can't stand looking like a copycat keeping up with the Joneses.
Shaggy would have complained with a song.
"Everyting whey Shaggy do, crowda people falla me..."
Cc: Nyani Ngabu
Narudia tena kukupa elimu ya bure, Jide siyo model yeye ni Musician. Akiamuwa anaweza kuvaa hata mabatiki na necklaces zenye Jamaica colour kujivunia uafrica wake na ndio maana Jide hatumii mkorogo. Huna hoja kajipange upya kwenye take one na ushuzi mwingine.
Raila mpaka atajwe hata kwenya range ya Jaydee. Rudisha siasa za wakikuyu Kenya
Acha kufuru wewe.......sasa ulitaka naye apige ya kwake ?......yangekuwepo unafikiria angeacha kuyaonyesha ?
Kwa range safi sn,kula matunda ya jasho lako mama,lakini JD KWENYE SEKTA YA MAVAZI,....AMESANDAAAAAA...jmn hamna ht volunteer?me naonaga hapendezagi,mwili wake ni mzuri tu (standard) lakn mhh anavopenda hvo vimbano,hapendezi,i thnk dresses,jumpsuits hvi would do her more good,
ona km alivovaa hapo,kichekesho
wanawake kwa kuoneana wivu.mafanikio ya jide yanawarusha roho sana ....mavazi kitu gani bana nyie mnaopendeza mbona maendeleo ziro nunueni marange tuwaone mtaishia kupewa vitz na kadi ya gari hampewi siku mkitoswa na gari mnanyang'anywa
Muulize yeye anayependeza ana nini? Akili za makalio kaa masogange!