Range rover ya Lady Jaydee

kama kweli ni gari lake,mbona photo pouse zote kaficha number hazisomeki? Ndo yale yaleee...shauri lake,vijana wa majembe wako kitaa wanafanya kazi...

ni ya mumewe ya kazini kapewa n bakhrrsa baada ya kutoka times
 
huyu dada ndo mwanamziki wa kwanza kumiliki ndinga kali kipindi hicho wasaanii wengi walikuwa wanaazima magari na wale waliokuwa na magari ya kwao basi ilikuwa ni stralet yeye kipindi hicho alikuwa anamiliki prado

jamani sio yakee kama yake me nakunya hadharan gar ya mumewe kapewa ya kazin kahamia azam radio n tv
 
safi sana komando Jd wale wambea wa jahaziii kazi wanayo wapiga domo wa radio mawingu watachelewa sana kupata kitu kama hicho. Big up mdada i salute u#team anaconda#


dah...
 
Big up Commando Huna makuu mama we na mume wako tu Kama kumbikumbi I like that sio wanaohongwa Magari Kama wema,shilole,wolper,uwoya wanapewa Magari Hayana KADI au diamond anapiga Picha huku anaficha plate NAMBA MWISHO wa siku kumbe gari ya CHIEF KIUMBE
 

Yeye kaonesha platr namba?? Hahahahha
 
ehhh kumbee, waambieee...wapiii kina Matola na wengine walokuwa wamepanic humuu kudefend ownership ya hlo gari

Wewe kweli akili zako hazikutoshi, huyo kocha tu wa Azam hana gari kama hiyo ndio sembuse mpiga porojo redioni apewe gari hiyo?
 
Last edited by a moderator:

Sitashangaa mkisema hata Nyumbani Lounge siyo ya jide,
 

sidhan km tutapishana sana ila nachojua mimi kauziwa na yussuph bhakresa
 
hivi hindoa bado ipo?
 
Hiki ndicho alichoki post lady jaydee kwenye mtandao wake wa instagram...heshima kwake# hard work pays..wakina wolper mpooo???
Mkuu ile ya siwema anayodaiwa milioni 98 ameshailipia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…