Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo kitu imagonga mngapi mkuu?? Maana ni noumaah sana
kwahiyo alivyopiga nalo picha ndio lake
Aliuze V8 tu aje kwa JIDE mwendo RR.
naonaga kama almasi huwa ananunua gari za kishamba!. anaacha kucheza na ma benz, maaudi na ma BMW ye anakimbilia migari ya madingi haina hata swagga.
=> Jide ndio anamiliki gari ghali kuliko wasanii wote Bongo...Land Rover..Range Rover Evoque.. .kitu WHITE....
Siyo lake ni la Mume wake G.Habash
Hongera bidada kifaa cha ukweli.kuna wa2 watakuja mda c mrefu waseme gari la 200m au 300m
approximately 70-100m on the road depending on model and specs
Brand new or more than one hand?
Does it matter? Walau kajiongeza bwana. Kuna wasanii, especially wengi wetu daladala zinatuhusu hadi kifo kitakapotutenganisha.
Siku hizi unategea kukesha wewe, you ar warned.
Hahahaha King'ast heshima yako bibie! Gari mpya ina raha yake bwana, mara kufanyiwa service, guarantee etc ndio mana nimeuliza sio kesi. Ila ka ni brand new napongeza 100% kajitahidi sana ingawa sio fair kuendesha gari hilo nchin ambayo hata maji safi ni ishu.
Ningekuwa raisi mm ni udikteta tu wananchi waishi rational na sio tajiriiiiiii na maskiniiiiii