Wema Sepetu amenunua Range Rover brand new, anasema thamani yake ni mil 200, je ni matunda ya kampeni za CCM maake alifanya initiative ya kumkampenia Makamu wa Rais mama Samiah Suluhu kwa slogan ya "mama ongea na mwanao", je hiyo Range Rover ni kazi ya hela alizopiga? duh, watu wamepiga hela jamani uchaguzi wa mwaka huu, sijui aliyekuwa anakaa na mkoba JM amepiga shilingi ngapi kama Wema kapiga mil 200