Rangi gani inafaa kupaka kwa ndani kwenye chumba anachoishi mwanaume?

Rangi gani inafaa kupaka kwa ndani kwenye chumba anachoishi mwanaume?

stan john

Member
Joined
Feb 17, 2022
Posts
76
Reaction score
81
Habari,

Nimempata chumba nataka nipake rangi, niweke kapeti na mapambo, naomba ushauri nipake rangi gani?

Na kapeti inayofata pamoja na mapambo kwa chumba Cha mwanaume?

Asante
 
Chaguo la rangi inategemea na hisia ambazo unapenda kuunda katika chumba chako.
  1. Rangi ya bluu: Inaleta hisia ya utulivu, amani, na ujasiri.
  2. Rangi ya kijivu: Inatoa hisia ya usawa na utulivu.
  3. Rangi ya kahawia au rangi ya asili: Rangi za asili kama vile kahawia, beige, au kijani-kahawia zinaweza kutoa hisia ya joto, urafiki, na ujasiri.
  4. Rangi ya kijani: Kijani ni rangi inayohusishwa na asili na amani.
 
Tafuta rangi inaitwa Egg York
Iko kama cream
Madaktari wote wa macho duniani wamekubaliana hiyo friendly colour kwa macho
 
Chaguo la rangi inategemea na hisia ambazo unapenda kuunda katika chumba chako.
  1. Rangi ya bluu: Inaleta hisia ya utulivu, amani, na ujasiri.
  2. Rangi ya kijivu: Inatoa hisia ya usawa na utulivu.
  3. Rangi ya kahawia au rangi ya asili: Rangi za asili kama vile kahawia, beige, au kijani-kahawia zinaweza kutoa hisia ya joto, urafiki, na ujasiri.
  4. Rangi ya kijani: Kijani ni rangi inayohusishwa na asili na amani.
Rangi ya njano ni nzuri kwa concentration, hivyo ni mahsusi kwa kusoma na kwa meditation, &maombi.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Back
Top Bottom