Rangi gani nzuri kupaka nje ya nyumba?

Wanichune wapi bwana wewe. Sasa bodaboda unamvhuna nini wakati sina mbele wa nyuma kama mche wa sabuni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwa kweli "kazi ya laana in lema's voice 😁"
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ™‚ haya ndio mambo sasa, tutaweka TV Samsung 55 inch, home theatre.. manyoya chumba kizima mwanawane.. na ka A.C yani..

C.c Mzee wa kupambania
wewe mzeya utafanya wahamie...wataanza kuacha hereni mara khanga mwishoe chupi. mrembo umuwekee ac sii anona wewe unazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…