Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Chukua chombo hiyo mzeiya ukajilie mema ya duniaZari hili au naota 😳😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua chombo hiyo mzeiya ukajilie mema ya duniaZari hili au naota 😳😳
Mi nakuja kukupa mtoto tu...ndicho tulichokubaliana
Watoto bwana lazima tutoe mapachaMi nakuja kukupa mtoto tu...ndicho tulichokubaliana
Kabisa kabisaWatoto bwana lazima tutoe mapacha
Housewarming 🎁 ni lazima. Chakula useme tu mapema ni kipi ili niibie ibie recipe za watu online 😁
Ugali dagaa na mtindi.Housewarming 🎁 ni lazima. Chakula useme tu mapema ni kipi ili niibie ibie recipe za watu online 😁
Huu Uzi ni wa kusabskraibu kabisa maana unatuhusu wengi.Wataalam rangi za kampuni gani ni nzuri kwa kupaka nje ya nyumba? Rangi iwe nyeupe na ambayo haitaweka ukungu.
Pili, bei zake kwa ndoo ya litre 20 na wastani ina cover sqm ngapi?
😂😂😂😂 Kwa kweli "kazi ya laana in lema's voice 😁"Wanichune wapi bwana wewe. Sasa bodaboda unamvhuna nini wakati sina mbele wa nyuma kama mche wa sabuni
Ikoje hii mkuu MshanaGold star WG nzuri zaidi ndoo ya 20L inaenda mpaka 130K
1Ltr inacover 6m² (coat mbili), ama unaweza kusema 12m² (single coat).Litre 10 ya white emulsion inaweza cover vyumba viitatu?
hapo sasa mukide. sidanganywi tena.1Ltr inacover 6m² (coat mbili), ama unaweza kusema 12m² (single coat).
Una nyotaa mzeeUgali dagaa na mtindi.
Daah! Utafaidi na hivi kamjengo kapyaaawee sii humtaki Dr Lizzy wacha mie nimkaribishe maghetoni aje nipikia ugali dagaa tubonge.
kale kachumba kako kapo bwana wewe na mzee wa kupambania mtakuja kukatumia.Daah! Utafaidi na hivi kamjengo kapyaaa
😅😅🙂 haya ndio mambo sasa, tutaweka TV Samsung 55 inch, home theatre.. manyoya chumba kizima mwanawane.. na ka A.C yani..kale kachumba kako kapo bwana wewe na mzee wa kupambania mtakuja kukatumia.
Na kafiriji ambako hakaishiwi vinywaji siku zote. Tutalipamba mpaka demu akiingia leo kesho yake atake kuja mwenyewe 😅😅😅🙂 haya ndio mambo sasa, tutaweka TV Samsung 55 inch, home theatre.. manyoya chumba kizima mwanawane.. na ka A.C yani..
C.c Mzee wa kupambania
wewe mzeya utafanya wahamie...wataanza kuacha hereni mara khanga mwishoe chupi. mrembo umuwekee ac sii anona wewe unazo.😅😅🙂 haya ndio mambo sasa, tutaweka TV Samsung 55 inch, home theatre.. manyoya chumba kizima mwanawane.. na ka A.C yani..
C.c Mzee wa kupambania