Rangi nyeupe ni nzuri mazee, ndio maana wanawake wanajichubua, tuache unafiki

Rangi nyeupe ni nzuri mazee, ndio maana wanawake wanajichubua, tuache unafiki

Colonialism blah blah blahh...Kati yangu na wewe unayeleta lugha ya kizungu kwenye mjadala wa Kiswahili nani aliyeathirika na ukoloni?

Nucky Thomson!

Utakua mpumbavu uliepitiliza unapo-compare genetic skin tone ambayo mwanadamu hana mamlaka nayo na eti kujifunza/kuongea english!

So far mwanadamu hawezi change genetics zake....hakuna mwanadamu alichagua kuzaliwa mweusi au mweupe au wa kijani...imetokea kazaliwa na genes hizo....

Wewe unawahukumu kwa kitu ambacho kimewatokea bila wao kuchagua?

Eti English,unaifananisha na genetics?I can unlearn English anytime I want,you can not unlearn your genetics dummy!

English ni communication language,English pekee sio utamaduni kamili wa Mzungu,ni just 1%.

Kiswahili chenyewe nani kakwambia ni cha mwafrika?Ni 68% Mwarabu!

Now,what ma nigga?

Hiyo rangi niliyoweka hapo sio ya mzungu, ni weupe wa mwafrika. Sijafagilia mzungu hapa

Utakataa ila ni kweli,skin tone imekujaa ubongoni mwako!

Light skin,why light skin is better than heavy one?Why grading?

Hujamfagilia mzungu directly,ni kwamba covertly fair skin superiority imekujaa ndio maana!

Acha upumbavu wa kusingizia kila kitu wazungu ni dalili za ufinyu wa fikra
Pumbavu mwenyewe....

Jitu zima lenye mvi hadi matakoni linafungua stupid thread ku-grade human beings according to their genetic skin tones as if wana control nazo hizo genetics!

You are so stupid to grade people this way.

Wewe ulichagua kuzaliwa mweupe?You are so dumb to even talk like that in public!

Kwa hiyo nikisifia kumiliki gari ni raha utasema natukuza watu weupe pia? Maana ndio wanaounda magari na walio introduce magari Afrika

Nucky Thompson wa JF ni wa ajabu sana kufananisha vifaa na vitu vya kuchagua physically na genes watu waliozaliwa nazo ambapo hawana option ya kuchagua!

Na nani kakwambia magari yanajengwa na wazungu pekee yake?

Kill that example already.

Nucky Thompson wa Boardwalk Empire was so clever,an Atlantic City political boss racketeer ila aliuwawa kipumbavu kwa three shots toka kwa Tommy Darmody mtoto wa Jimmy kulipa kisasi...Biashara nzima ya bootlegging anabaki nayo Charlie Luciano with his Commission!

Nice to see Nucky Thompson's demise!
 
The post trauma effects of colonialism and slavery is still on!

It is really hard to get rid of these things in our African minds...Tougher than moving mountains!

It is so engrained in our social fabric so deep...

Its unfortunate....

You can prefer light skin,yes,but don't grade....
So sad for shizzo mkuu
 
Nucky Thomson!

Utakua mpumbavu uliepitiliza unapo-compare genetic skin tone ambayo mwanadamu hana mamlaka nayo na eti kujifunza/kuongea english!

So far mwanadamu hawezi change genetics zake....hakuna mwanadamu alichagua kuzaliwa mweusi au mweupe au wa kijani...imetokea kazaliwa na genes hizo....

Wewe unawahukumu kwa kitu ambacho kimewatokea bila wao kuchagua?

Eti English,unaifananisha na genetics?I can unlearn English anytime I want,you can not unlearn your genetics dummy!

English ni communication language,English pekee sio utamaduni kamili wa Mzungu,ni just 1%.

Kiswahili chenyewe nani kakwambia ni cha mwafrika?Ni 68% Mwarabu!

Now,what ma nigga?



Utakataa ila ni kweli,skin tone imekujaa ubongoni mwako!

Light skin,why light skin is better than heavy one?Why grading?

Hujamfagilia mzungu directly,ni kwamba covertly fair skin superiority imekujaa ndio maana!


Pumbavu mwenyewe....

Jitu zima lenye mvi hadi matakoni linafungua stupid thread ku-grade human beings according to their genetic skin tones as if wana control nazo hizo genetics!

You are so stupid to grade people this way.

Wewe ulichagua kuzaliwa mweupe?You are so dumb to even talk like that in public!



Nucky Thompson wa JF ni wa ajabu sana kufananisha vifaa na vitu vya kuchagua physically na genes watu waliozaliwa nazo ambapo hawana option ya kuchagua!

Na nani kakwambia magari yanajengwa na wazungu pekee yake?

Kill that example already.

Nucky Thompson wa Boardwalk Empire was so clever,an Atlantic City political boss racketeer ila aliuwawa kipumbavu kwa three shots toka kwa Tommy Darmody mtoto wa Jimmy kulipa kisasi...Biashara nzima ya bootlegging anabaki nayo Charlie Luciano with his Commission!

Nice to see Nucky Thompson's demise!
Povu zito, sorry kama nimeumiza hisia zako
Ulianza kuleta mambo ya ukoloni hapa, na nilichoweka ni mikono miwili ya Waafrika! Mkoloni hana hiyo rangi kabisa

Labda ningeweka mkono wa mzungu na mwafrika, wewe unakuja na English yako ambayo ndio ya wakoloni..

Unaonekana upo obssesed sana hao na hao wakoloni wakati mimi sina mpango nao

Na hata ingekua, je wakoloni ndio wenye rangi nyeupe tu? Wachina, wahindi, wakorea, Waarabu, walatino wana lighter skin, kwa nini ulete wazungu? Kama sio obssesion?

Na kama kitu kinasababishwa na genetic ni kosa ku compare kisa watu hawana control navyo?
Kwa hiyo mwanaune anayesema anapendelea makalio makubwa ambayo ni maumbile ya kuzaliwa, nao wana makosa? Au wanawake wanaopendelea wanaume warefu? Au makosa yapo kwa anayezungumzia ngozi pekee?

Na unaposema mimi ni mzee nina mvi matakoni, huoni kwamba unatukana wazee na uzee ni kitu ambacho mtu hana control nacho?
 
Umeulizwa huko juu maswali ya msingi sana ajabu umeyaruka, hiyo picha ni wewe?? na je ni sehemu gani ya kiungo cha mwili wako? goti, mkono au kwapa??

I hope hii comment utaiona na kuijibu braza kaka.
Picha sio yangu, nimeitoa group la whatsapp,
 
Back
Top Bottom