Rangi nyeupe ni nzuri mazee, ndio maana wanawake wanajichubua, tuache unafiki

Rangi nyeupe ni nzuri mazee, ndio maana wanawake wanajichubua, tuache unafiki

Una haki ya kusema unachofikiri kama bado hujawahi kushuhudia jambo.

Nilisoma na Mtoto mmoja shule ya msingi anaitwa Teddy, kabinti ni keusi lakini ni kacute kupita maelezo...tulikuwa na 'light skin' wa kutosha tu shuleni pale lakini Tedi ni noma.

Na ajabu kale katoto tangu shule ya msingi mpaka utu uzima yupo cute vilevile, ingawa ni miaka kadhaa ya karibuni sasa sijamuona.

Na kalikuwa kanatokea familia moja bora sana a.k.a mboga saba, hivyo hata wazengeaji walikaogopa ile mbaya.
 
Povu zito, sorry kama nimeumiza hisia zako
Ulianza kuleta mambo ya ukoloni hapa, na nilichoweka ni mikono miwili ya Waafrika! Mkoloni hana hiyo rangi kabisa

Nah really!

I busted open how lethal your post is katika uwanda mpana wake...

Umeweka mikono miwili ya Waafrika,but ume-grade mkono mweupe ni bora zaidi hujasema hata ni kwanini na kwa kazi gani..

Ulichokitoa ni typical residual effect ya colonialism...Hiki kitu hakikuwepo kabla ya colonialism na slavery,please read here:

<<<<<Historically, the cause of skin lightening goes back to colonialism, where individuals with lighter skin received greater privilege than those of darker tones.[29] This built a racial hierarchy and color ranking within colonized African nations, leaving psychological effects on many of the darker skinned individuals.[29]>>>>>

Labda ningeweka mkono wa mzungu na mwafrika, wewe unakuja na English yako ambayo ndio ya wakoloni..

Wewe ni mnafiki maana umesoma English pia kwa miaka zaidi ya 14,na pia huwezi fananisha English na genetics,get this in your head mkuu!

Unaonekana upo obssesed sana hao na hao wakoloni wakati mimi sina mpango nao

Huwezi kujua kama upo kwenye post trauma,utaongea kinafiki hapa kua hauna mpango na Wazungu,I get that.

Lakini tangu ulipozaliwa kuanzia kwenye dini,shule,music,news,etc kua white colorism has a higher value than dark one!

You are so obsessed with skin colorism mpaka ukaitoa hii thread,hujaitoa just from nowhere!And you well know this,ila tulivyojaa unafikia utakataa,which is cool with me!

Na hata ingekua, je wakoloni ndio wenye rangi nyeupe tu? Wachina, wahindi, wakorea, Waarabu, walatino wana lighter skin, kwa nini ulete wazungu? Kama sio obssesion?

Sio Wazungu tu wenye ngozi nyeupe..

Nimetaja Wazungu specifically sababu African oppressors have always been Arabs and Europeans na their lethal racism based on just skin color alone is well documented.

Na kama kitu kinasababishwa na genetic ni kosa ku compare kisa watu hawana control navyo?
Kwa hiyo mwanaune anayesema anapendelea makalio makubwa ambayo ni maumbile ya kuzaliwa, nao wana makosa? Au wanawake wanaopendelea wanaume warefu? Au makosa yapo kwa anayezungumzia ngozi pekee?

Ku-compare wanadamu kwa genetics ili kutoa upendeleo fulani ni kosa..Haijalishi ni matako,urefu,ufupi,kucha,pua,etc..Ni WRONG!

Hivyo usijitete na hivyo vingine!

Sasa basi,kwanini skin color ndio ishu kubwa hapa zaidi ya hivyo vingine?

Jibu ni kua skin color ipo linked na kitu kingine very sensitive na volatile kinachoitwa RACE!

Ndio shida inapoanzia!

Matako,urefu,ufupi,pua,vidole,etc vipo across all races,tatizo lipo kwenye skin color ambapo ipo coded kwenye specific race.....Na world's races have been living kwa uadui mkubwa historically!

I wish you understand the effects of what you have just done with this thread!

Your sisters reading this thread,who happen to have dark skin will all feel worthless...let that sink in for a moment!

What will they do to cope?They will use skin lightening creams and surgeries....Then what?You are a part of the problem and not a solution to begin with!

Kwa mfano it happens you have a dark skinned daughter who have a light skinned friend,halafu ukamwambia rafiki yake ni better sababu ana ngozi nyeupe.....

Hivi unajua utakua ume-cause damage kiasi gani kwa binti yako?Unajua how grossly stupid you will be with this?

Unachofanya hapa unawafanyia mabinti wa wanadamu wenzio,the same way to your own daughters!

Yeah,we are human beings,we have our biases and discrimination,walao ficha basi,its unfortunate you are coming off ballistically and so proud with this color nonsense!

Na unaposema mimi ni mzee nina mvi matakoni, huoni kwamba unatukana wazee na uzee ni kitu ambacho mtu hana control nacho?

Hivi tangu lini uzee au ujana ni tusi?Kua na mvi ni tusi?
 
Una haki ya kusema unachofikiri kama bado hujawahi kushuhudia jambo.

Nilisoma na Mtoto mmoja shule ya msingi anaitwa Teddy, kabinti ni keusi lakini ni kacute kupita maelezo...tulikuwa na 'light skin' wa kutosha tu shuleni pale lakini Tedi ni noma.

Na ajabu kale katoto tangu shule ya msingi mpaka utu uzima yupo cute vilevile, ingawa ni miaka kadhaa ya karibuni sasa sijamuona.

Na kalikuwa kanatokea familia moja bora sana a.k.a mboga saba, hivyo hata wazengeaji walikaogopa ile mbaya.
One in a million hiyo...usizungumzie case moja moja ambazo zinakua ni exception, maana kila general rule ina exception zake
 
One in a million hiyo...usizungumzie case moja moja ambazo zinakua ni exception, maana kila general rule ina exception zake
Inategemea unataka kutafsiri vipi, ila uwepo wake basi ni ushahidi tosha kuwa wapo, tofauti na uzi unavyosema.

Pili kumbuka nimesema alikuwa anatoka familia bora, hivyo huenda wengi huponzwa na matunzo/mazingira. wanayokulia.
 
Nah really!

I busted open how lethal your post is katika uwanda mpana wake...

Umeweka mikono miwili ya Waafrika,but ume-grade mkono mweupe ni bora zaidi hujasema hata ni kwanini na kwa kazi gani..

Ulichokitoa ni typical residual effect ya colonialism...Hiki kitu hakikuwepo kabla ya colonialism na slavery,please read here:

<<<<<Historically, the cause of skin lightening goes back to colonialism, where individuals with lighter skin received greater privilege than those of darker tones.[29] This built a racial hierarchy and color ranking within colonized African nations, leaving psychological effects on many of the darker skinned individuals.[29]>>>>>



Wewe ni mnafiki maana umesoma English pia kwa miaka zaidi ya 14,na pia huwezi fananisha English na genetics,get this in your head mkuu!



Huwezi kujua kama upo kwenye post trauma,utaongea kinafiki hapa kua hauna mpango na Wazungu,I get that.

Lakini tangu ulipozaliwa kuanzia kwenye dini,shule,music,news,etc kua white colorism has a higher value than dark one!

You are so obsessed with skin colorism mpaka ukaitoa hii thread,hujaitoa just from nowhere!And you well know this,ila tulivyojaa unafikia utakataa,which is cool with me!



Sio Wazungu tu wenye ngozi nyeupe..

Nimetaja Wazungu specifically sababu African oppressors have always been Arabs and Europeans na their lethal racism based on just skin color alone is well documented.



Ku-compare wanadamu kwa genetics ili kutoa upendeleo fulani ni kosa..Haijalishi ni matako,urefu,ufupi,kucha,pua,etc..Ni WRONG!

Hivyo usijitete na hivyo vingine!

Sasa basi,kwanini skin color ndio ishu kubwa hapa zaidi ya hivyo vingine?

Jibu ni kua skin color ipo linked na kitu kingine very sensitive na volatile kinachoitwa RACE!

Ndio shida inapoanzia!

Matako,urefu,ufupi,pua,vidole,etc vipo across all races,tatizo lipo kwenye skin color ambapo ipo coded kwenye specific race.....Na world's races have been living kwa uadui mkubwa historically!

I wish you understand the effects of what you have just done with this thread!

Your sisters reading this thread,who happen to have dark skin will all feel worthless...let that sink in for a moment!

What will they do to cope?They will use skin lightening creams and surgeries....Then what?You are a part of the problem and not a solution to begin with!

Kwa mfano it happens you have a dark skinned daughter who have a light skinned friend,halafu ukamwambia rafiki yake ni better sababu ana ngozi nyeupe.....

Hivi unajua utakua ume-cause damage kiasi gani kwa binti yako?Unajua how grossly stupid you will be with this?

Unachofanya hapa unawafanyia mabinti wa wanadamu wenzio,the same way to your own daughters!

Yeah,we are human beings,we have our biases and discrimination,walao ficha basi,its unfortunate you are coming off ballistically and so proud with this color nonsense!



Hivi tangu lini uzee au ujana ni tusi?Kua na mvi ni tusi?

Mzee baba kwa hiyo una maana kabla ya wakoloni kuja watu walikuwa hawana upendeleo wa rangi? Iwe nyeupe ama nyeusi? Kulikuwa hakuna wasichana wa Kiafrika warembo kuliko wengine?

Halafu nikuambie tu kuna mambo ya wazungu nipo impressed nayo lakini sio muonekano wao wa ngozi, na watu wengi wanaposema wanapendelea rangi nyeupe hawamaanishi anapendelea ule weupe wa kizungu

N mtu akivutiwa na muonekana fulani kwani lazima hiyo rangi awe na kazi nayo? ni macho yake tu yanavutiwa basi..Naweza nikavutiwa hata na rangi nyekundu ya gari basi tu kwa kuwa macho yangu yanafurahia hiyo rangi

Mzee pengine utakuwa na matatizo sijui ya inferiority complex kiasi kwamba mtu akipendelea kitu cheupe chochote juu ya cheusi utapeleka kwenye mambo ya Mzungu vs Mwafrika, sasa wewe ndio racist wa kiwango cha juu sana

Halafu binadamu tumezaliwa na trait tofauti tofauti zinazotokana na jenetiki, kuna warefu, wafupi, weusi weupe,wenye sauti nzito, laini, wenye misuli, wasio nayo, wanene, wembamba n.k na hii ndio inafanya dunia inakuwa ineresting na watu wenye vipaji na fani mbalimbali kwenye kama wanamitindo, wacheza soka, wanamuziki, mambondia, n.k..

Mtu kuwa na upendeleo kwa mtu fulani kutokana na muonekano wake unaosababishwa na muundo wake wa kijenetiki sio kosa wala ubaguzi.! La sivyo kusingekuwa na mashindano mbalimbali wala ma superstar.
Ku presume na ku judge character ya mtu kutokana na muonekano wake wa nje ndio ubaguzi usiotakiwa

Halafu suala la race sijui linakuaje sensitive kwa Tz wakati tupo 99% wote Wabantu, na ndio wasoma post yangu, ndio maana hakuna mtu aliyeleta ishu za race isipokuwa wewe, racism haiwezi kuwa ishu sensitive Tanzania labda ukabila au udini huko

Sasa huyo dada yangu ama binti atakaeona mtu kasema ana upendeleo na rangi nyeupe kisha akaenda kuji bleach atakua na matatizo na anahitaji tiba ...Yaani mtu akipenda rangi ya ngozi na wewe ukawa huna hiyo rangi, ina maana huna quality nyingine hadi ukaji bleach kana kwamba uzuri wa mtu una kuwa based kwenye rangi ya ngozi pekee? Atakuwa ana matatizo

So akisikia pia mtu akisema anapendela wanawake warefu yeye atatamani kujirefusha, akisikia wanapenda maziwa makubwa ataenda kufanya operesheni, akisikia wanapenda makalio nae ataenda kufanya sijui operesheni tena..?

Halafu uache unafiki uliponiambia mimi ni mzee nina mvi matakoni ulimaanisha kama wazee ndio hawatakiwi kuwa na mada kama yangu?
 
Mzee baba kwa hiyo una maana kabla ya wakoloni kuja watu walikuwa hawana upendeleo wa rangi? Iwe nyeupe ama nyeusi? Kulikuwa hakuna wasichana wa Kiafrika warembo kuliko wengine?

Hiyo ni per research mzee na tena nikakuwekea excerpt kabisa....Kubisha unatakiwa uje na research yako kuipinga!

Halafu nikuambie tu kuna mambo ya wazungu nipo impressed nayo lakini sio muonekano wao wa ngozi, na watu wengi wanaposema wanapendelea rangi nyeupe hawamaanishi anapendelea ule weupe wa kizungu

Again..hiyo ni personal preference yako iliyotokea baada ya damage kufanyika long time ago...

Nachotaka ni uone how your thread damage inayofanya to the innocent women you are grading!

Mzee pengine utakuwa na matatizo sijui ya inferiority complex kiasi kwamba mtu akipendelea kitu cheupe chochote juu ya cheusi utapeleka kwenye mambo ya Mzungu vs Mwafrika, sasa wewe ndio racist wa kiwango cha juu sana

Mkuu bado unajifanya hutaki kuelewa!

Sina inferiority complex on this issue...kwanza thread yako haijaelekezwa kwangu,umeielekeza kwa wanawake wa Kiafrika which in turn ni mama zako,dada zako na binti zako wewe mwenyewe!

Tatizo unachukulia mambo juu juu sana mkuu...weupe au weusi ni unfortunately racially coded...Hapo ndipo inaleta sensitivity!Ndio maana nikaingia kuwatetea..

Bila kuelewa umeumiza feelings za hawa wanawake unnecessarily sababu umegusa racial sensitivity lines!

Halafu binadamu tumezaliwa na trait tofauti tofauti zinazotokana na jenetiki, kuna warefu, wafupi, weusi weupe,wenye sauti nzito, laini, wenye misuli, wasio nayo, wanene, wembamba n.k na hii ndio inafanya dunia inakuwa ineresting na watu wenye vipaji na fani mbalimbali kwenye kama wanamitindo, wacheza soka, wanamuziki, mambondia, n.k..

Still unazidi kufeli....traits zote ulizotoa hapo zipo across all races ndio maana sio defined under racial lines...Ndio maana sio sensitive!

Ila rangi ni racially coded...ndio shida....

Mbona huelewi?

Mtu kuwa na upendeleo kwa mtu fulani kutokana na muonekano wake unaosababishwa na muundo wake wa kijenetiki sio kosa wala ubaguzi.! La sivyo kusingekuwa na mashindano mbalimbali wala ma superstar.
Ku presume na ku judge character ya mtu kutokana na muonekano wake wa nje ndio ubaguzi usiotakiwa

Zote ni ubaguzi ,biases na discrimination mkuu..

Sema hazija-cross racial lines.....

Hebu call spade a spade!

Halafu suala la race sijui linakuaje sensitive kwa Tz wakati tupo 99% wote Wabantu, na ndio wasoma post yangu, ndio maana hakuna mtu aliyeleta ishu za race isipokuwa wewe, racism haiwezi kuwa ishu sensitive Tanzania labda ukabila au udini huko

Mkuu race ni social construct,that is,a symbolic identity created to establish some cultural meaning,therefore race is not an inherent physical or biological quality...

Ndio maana unawezapata range of skin color lines within one race itself....

Ulichofanya wewe ni intra racism,yaani unafanya racism within a race baada ya effect from the outside race!

Kwanza nani kakwambia Bantu ni race?

Bantu ni just a small grouping ndani ya black race!

Na statistic ya 99% Tanzania ni Bantu umeipata wapi?

Approx. Bantu in Tanzania stand at 51milion nearly 90% tu,the remaining 10% ni watu wengine!

Sasa huyo dada yangu ama binti atakaeona mtu kasema ana upendeleo na rangi nyeupe kisha akaenda kuji bleach atakua na matatizo na anahitaji tiba ...Yaani mtu akipenda rangi ya ngozi na wewe ukawa huna hiyo rangi, ina maana huna quality nyingine hadi ukaji bleach kana kwamba uzuri wa mtu una kuwa based kwenye rangi ya ngozi pekee? Atakuwa ana matatizo

Your thread ni one of the problem wala sio solution!

Imagine ulie-mgrade hapo ni binti yako wa damu,utakua umemfanyia permanent damage milele na milele...

Sasa unaongea simplistic tu kwasababu hao wanawake ulioumiza their worthness hawakuhusu?

I understand sisi wanadamu ni selfish na discriminatory,ila walao usitoe hadharani hivi maana una affect massive group of people!

Even after this you just dont care maana haikuhusu,until ukiwa na mabinti zako nao wafanyiwe hivi.

So akisikia pia mtu akisema anapendela wanawake warefu yeye atatamani kujirefusha, akisikia wanapenda maziwa makubwa ataenda kufanya operesheni, akisikia wanapenda makalio nae ataenda kufanya sijui operesheni tena..?
Still unarudi kule kule....traits unazotaja hazijagusa racial lines!

Only color touches racial lines,hapo ndio sensitivity inapokuja....

Japokua pia ni ubaguzi!

Halafu uache unafiki uliponiambia mimi ni mzee nina mvi matakoni ulimaanisha kama wazee ndio hawatakiwi kuwa na mada kama yangu?
Mnafiki ni wewe maana unaelewa kabisa thread yako imeumiza group of women ila bado unakomaa upo sahihi!

Ukiitwa mzee na mvi umetukanwa?Kama sio mzee sema sio mzee ueleweke..Na kama huna mvi sema huna basi utaeleweka who you are...

No need for feelings!
 
The post trauma effects of colonialism and slavery is still on!

It is really hard to get rid of these things in our African minds...Tougher than moving mountains!

It is so engrained in our social fabric so deep...

Its unfortunate....

You can prefer light skin,yes,but don't grade....
Weupe wa wazungu sio mzuri hata ila weupe wa kiafrika kiukweli upo good sana au wa kihindi
 
Nachoweza kusema mtu mweupe ni visible sana tofauti na mtu mweusi ..but am proud to be black
 
kwa maana ya mapenzi black ndio sexy zaidi,lakin kwa kuuza sura tu white anafunka
 
Mimi ni mweusi tiii na mme wangu ni mweupe peee. Nikinunua cream lazima aisome aone kama kuna kutu cha kunifanya mweupe. Anasema angependa weupe angewatafuta hao lakini alipenda cheusi dawa na ndivyo ni livyo.

cc: mshana jr.
 
Weupe wa wazungu sio mzuri hata ila weupe wa kiafrika kiukweli upo good sana au wa kihindi

Still ni beauty standard kwendana na effect ya external white race....

Kwanini usiseme weusi ndio mzuri?

Hivi unaweza nipa scientific au hata social reasons lighter skin tone ni better than darker one?

Unafanya racism within your own race after the effect of the external race!

Ni racial effect which still runs deep in ourselves and we can never know we have a problem kiasi kwamba mimi ninaepinga skin colorism ndio naonekana wa ajabu kinyume chake!

The problem is so so deep and still going deep!
 
Hakuna beauty ya general, ila kuna kufuata mkumbo... yani kwa sababu majority wanamsifia basi nawe unajifanya kumsifia ila moyoni unajua ni wa kawaida sana...


Cc: mahondaw

Kwa kuangalia tu aaaaaaaaaaaaaaaaaaa weupe oyeeeeee ila kwa taste ya kitanda black ni hatareeeeeeeeeeeee.......
 
Still ni beauty standard kwendana na effect ya external white race....

Kwanini usiseme weusi ndio mzuri?

Hivi unaweza nipa scientific au hata social reasons lighter skin tone ni better than darker one?

Unafanya racism within your own race after the effect of the external race!

Ni racial effect which still runs deep in ourselves and we can never know we have a problem kiasi kwamba mimi ninaepinga skin colorism ndio naonekana wa ajabu kinyume chake!

The problem is so so deep and still going deep!
Sikubaliani na kujichibua, but nikuambie kitu.

It's not a matter of racism or colonialism. God created us in all shades, and in our hearts He gave to each their preference.

That is why we have different colours, shapes and sizes. And we attract different people.

Ara wiii tugeza yang man?
 
Sikubaliani na kujichibua, but nikuambie kitu.

It's not a matter of racism or colonialism. God created us in all shades, and in our hearts He gave to each their preference.

That is why we have different colours, shapes and sizes. And we attract different people.

Ara wiii tugeza yang man?

Hukubaliani na kujichubua ni wewe unasema..

Skin lighting in Africa,India,Brazil and United States ni janga! Ni 1.5 Bilion USD industry! Statistics ni worse!

Shida sio differences,differences ni lazima..

Tatizo ni pale watu wanapo declare white skin ni superior than darker skin

Maana yake huja-prefer tu personally,ume-prefer and then ukadharau the opposite pigmentation....

Utu ni ku-prefer bila kudharau ingine....sio lazima udharau!
 
Back
Top Bottom