habari wana jf......mm ni kobonge kdg nina tatizo la kuwa na rangi nyeuc sana katikati ya mapaja nliwahi kuambiwa cream ya gentrison nimeitumia sana ila cjpata ufumbuzi tatizo hili lipo na mikononi yyani underarms....hv ni ugonjwaa au .......
Duh pole mdada ila wewe waweza chukka huo weusi wengine wa jinsia tofauti vikawapa mzuka. Km michirizi ya mapajani wengine wanahanga ika kuitoa Lon wanaume wakiiona wanapagawa