genltesoul
Member
- Dec 27, 2012
- 30
- 8
habari wana jf......mm ni kobonge kdg nina tatizo la kuwa na rangi nyeuc sana katikati ya mapaja nliwahi kuambiwa cream ya gentrison nimeitumia sana ila cjpata ufumbuzi tatizo hili lipo na mikononi yyani underarms....hv ni ugonjwaa au .......