Rapa Chemical : "Sijawahi kuguswa na mwanaume yeyote" Adai yeye ni Bikra

Rapa Chemical : "Sijawahi kuguswa na mwanaume yeyote" Adai yeye ni Bikra

Nimependa hiyo ya kutojipamba na minywele ya plastiki na mipoda aina selasini..hilo la ubikira kwa umri alionao inaonyesha kua (1)malezi
(2)anajitambua
(3)kuyashinda
Majaribu.
(4)mvumilivu
 
Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya
Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa
jina la “I’M SORRY MAMA” mwanadada Chemical,
amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi tangu
azaliwe).
View attachment 433654
Chemical ameongea hayo wakati akihojiwa katika
kipindi cha D’WIKEND CHATSHOW kinachorushwa
kupitia clouds tv. Chemical ameongeza, licha ya kuwa
bikira hajawahi kujihusisha na mapenzi ya jinsia
moja(ulesbian).
View attachment 433655
Vilevile ameongezea, yeye hana gharama kabisa,
kwasababu hatumii mavitu ya gharama kama wadada
wa mjini(hapaki miwanja, haweki manywele ya bandia,
na makororo mingine ya thamani) ambayo wadada wa
mjini wamekuwa wakitumia
Kwanza naheshimu Uhuru wake was ktoa maoni ila nayapinga mawazo.
1.Sampuli ya watu wanaoimba huo mziki wake wanafahamika in watu gani.Kwangu in very big "NO".
2.Mtaa anaoishi watoto so riziki??
 
Anatafuta siko uyo kajipendekeze uone waweza kutana na bwawa
 
We msanii unatakiwa upromote mziki wako na uepuke mambo ambayo yanaweza kukudhalilisha mbele ya jamii, tena msomi lakini unakuwa na ulakini kama hivyo tumekujua kwa muziki fanya muziki tu achana na mboyoyo
 
Dem anazingua

Kipind alikuwa anamegwa na mshkaj wang anasoma pale Ud sas cjui ndo kiki ionekane mwema sana............
 
Sijawahi ona mtu anajivuna kwa kukosa starehe yeye na Eva nani bora?

Hasifananishe aliyeguswa na mambo ya kijanga.
 
Back
Top Bottom