Rapa Chemical : "Sijawahi kuguswa na mwanaume yeyote" Adai yeye ni Bikra

Rapa Chemical : "Sijawahi kuguswa na mwanaume yeyote" Adai yeye ni Bikra

Bado hakaja-graduate mkuu..kapo shule pale. Kuhusu kutokua she-male: Actually sina uhakika 100% coz sijawahi kumuona naked ila ukikutana naye, mwili wake ni wa kike kabisa. Chuchu,hips,tabia,company yake pia ni mamanzi kibao n.k...ila tu anapenda kuvaa pants za ki-Tomboy.
Mi nampata anaitwa claudia amesoma nangwanda high school alikua hgk km sikosei..huyo dada si tomboy na binafs skueah kimuina na boyfrienda bt anaongea na waschana wenzake km kawaida na yupo kischana kabisa..she is cool yaan kitabia ni ana tabia njema! Now yupo udsm pale anaingia second year km sio third year!
 
Mkuu ni mavazi tu.
Akipiga vitenge ama khanga, yaani avae kike kabisa, lazima atabadilika, sura ya kulumangila itakuja, ingawa siyo kwa asilimia zote.
Naomba nisieleweke vibaya mkuu. Sote tumeumbwa na Mungu na kila mtu ni mzuri kivyake. Ukiwa msanii au mtu maarufu ndipo hapo sasa unakuwa kilingnishio hasa ukianza kutoa kauli za kijumla ili jamii ikutazame na kujionamo kama alivyofanya huyu binti. Yes, ni mzuri kivyake na bila shaka ana soulmate wake ambaye siku moja atamtoa hiyo bikra na kumpenda kabisa kabisa. Mungu Ambariki!
 
Mkuu kweli unamfahamu. Pale Twiga Secondary alikuwa normal sana. Ni msichana mrembo kama akiondoa Swaggs zake ila chura hana.
Tatizo ni kwanini amekuwa akipenda sana kuvaa makobazi kuliko viatu vya kufunika?
Yaan ww kwel unampata since twiga anpenda kuvaa sandals hapendag viatu vya kufunika
 
wapate bikra kwani dildo wanazotumia baada ya kusagana hazina ncha? acha utani na jabir wewe. pale ukitaka apigane na wewe ngumi mtongoze ukimwambia unataka kumlala, anatoa hadi jasho kwa hasira, kisa ati umemfananisha yeye na mwanamke wa kulalwa..shetani amemwingia hadi akili hana.
Mh! Ni hivyo tena! yawezekana ni jike dume.
Kwanza anavyopenda mavazi ya kiume yanayomchusha!
Kumbe watu washajaribu kumsamamba wakatukanwa!
Ninavyoelewa mwanamke mgumu ndiyo mzuri.
Anavyokutusi ndivyo anavyouweka rehani ugumu wake.
Hivi inawezekana mwanamke ukamtongoza,akakutusi halafu ukakata tamaa ukashindwa, ipo hiyo?
Hiyo kwangu haiwezi kutokea. Akitaka kuniweza akubali halafu aanze kunidanganya na kunizungusha kijinga kwenye miadi, hapo sina ujanja, naachia, lkini si kwa kutukanwa.
Anayentukana tena kwa matusi mazitomazito,lazima nimle kwa mbinu na gharama yoyote ile na baadae kuja kuwa marafiki wakubwa.
 
lakn sio kwamba hajataka bali wanaume ndo hawajamtafuta
 
Kwa jinsi anavyoonekana, ni sawa, hata mimi nisingemtongoza.
Hao walionyimwa uzuri wa nje bac ndani ndo swaaafi kabisa tena Mm ndo nafa kabisa kwa madem kama hao,mambo yao ni mazito on ze bed[emoji7] ni mchakamchaka mpaka jogoo linawika[emoji180]
 
Kumbe nawe ni msanii..?
Bongo kila mwanachuo msanii..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata twambie vipi na wewe huko nyuma bado bikra ipo?


This was uncalled for mkuu!
 
Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa jina la "I'M SORRY MAMA" mwanadada Chemical, amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi tangu azaliwe).

Chemical ameongea hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha D'WIKEND CHATSHOW kinachorushwa kupitia clouds tv. Chemical ameongeza, licha ya kuwa bikira hajawahi kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja(ulesbian).

Vilevile ameongezea, yeye hana gharama kabisa, kwasababu hatumii mavitu ya gharama kama wadada wa mjini(hapaki miwanja, haweki manywele ya bandia, na makororo mingine ya thamani) ambayo wadada wa mjini wamekuwa wakitumia.

Pichani msanii chemical akiwa na msanii mwezake wa bongo muvi bibie wema sepetu
View attachment 433229

picha za chini msanii chemical akiwa kwenye pozi mbalimbali

View attachment 433231 View attachment 433232 View attachment 433233
huyu simto*mbi hata bure, sura km anakun*ya.bikra labda awe nayo ya mkun*du.
 
Oooohoooo shakaaa rika ndoroboooo ya baaba sitaaa ndorobooo mwangalie kjana anaudanganya umma
 
Kwani kuwa na mpenzi maana yake nini Mkuu?
hahah hapo sasa,kibongobongo ni yule rafika ambae unakuwa nae kimahusiano ya mapenzi.nadhani utataka kuuliza pia mapenzi ni nin bila ubish? nasubir uniulize ndo nitaendlea....
 
Back
Top Bottom