Rapa Naziz afiwa na mtoto wake wakiwa Hotelini Dar es Salaam

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msanii huyo kutoka Kenya imeeleza kuwa Jazeel alifariki kutokana na ajali aliyopata akiwa katika moja ya Hoteli waliyofikia jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo taarifa ya Naziz haijaweka wazi zaidi kuhusu tukio la ajali na tayari Marehemu amezikwa jijini Nairobi kwa taratibu za Dini yake.
 
Kuanguka kwenye ghorofa nini? Anyways inasikitisha unasafiri kula sikukuu na mwanao halafu hili linatokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…