NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
. Nahisi dizasta atakuwa vizur zaidKado kitengo ni Messi awo wajinga hamna kitu akuna mtu yoyote yule apa Tz atakaekuja kusimama na kitengo ayeeeeeeeeee
We boya kweli, hakuna mtu ambaye alikuwa anaifanya freestyle ionekane nyepesi kama Ngwair. Alipoibuka Chidi walau akaleta upinzani ila still alikuwa anampa respect.Ngwair overrated na wauza unga na wala unga
Saigon tu alikuwa ana rap vizuri kuliko mashauzi ngwair
Hao madogo wanakalishwa hata na Cannabino (Conboi) anawaficha kabisa kiuandishi.Kwa hio Kado Kitengo, Disasta Vina, Boshoo, Nacha, Mbeya Boy Chuma na Black Mc ndio mnaowaona wana mashairi magumu kumzidi Ngwair au sio?
Madogo mnazingua mnazingua mnazingua madogo hamna heshima, hivi unaelewa maana ya freestyle kwanza? Unaielewa misingi hiphop na rap ipoje na ni ipi au unaropoka tu?
Wote niliowamention hapo juu wanabwata bwata tu sijaona rapper kidooogo ukiniambia Mbeya Boy Chuma anarap nitakuelewa hao wengine sijawaelewa wanarap nini, rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka narudia tena rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka, niambie Ngwair katika kurap kwake hukuwahi kumuelewa anarap nini na media zilikua zinapiga Ngoma zake top 10 alikua anafika mpaka namba 1 leo wewe dogo umemaliza la 7 juzi unaleta dharau za ki-wack humu?
Niambie huyo Cado Kitengo au Disasta lini ameshika namba 1 top 10? Sizungumzii boomplay au stream au blog yoyote nazungumzia public radio na TV ipi ameshika namba 1 kwenye top 10? Akachana akarap watu wakamuelewa anachofanya ondoa EaRadio dakika 10 za maangamizi ipi radio nyingine inayoelewa uwepo wake au boomplay na YouTube?
Hizo jeuri na viburi za kutokuheshimu waliotangulia ndio zinafanya msifike mbali, msiposupportiwa mnaanza maneno mengi mkisupportiwa mnajifanya miamba eti unaingia booth unatunga rap line "Disasta Vina ni km JO 70" motherfackers yaan madogo mnapenda battle's za ki-wack, faaaack you
Hawa madogo wa kizazi cha Young Lunya hawawezi kukuelewa.We boya kweli, hakuna mtu ambaye alikuwa anaifanya freestyle ionekane nyepesi kama Ngwair. Alipoibuka Chidi walau akaleta upinzani ila still alikuwa anampa respect.
Wao wanahisi rapper mkali ni Lunya tuHawa madogo wa kizazi cha Young Lunya hawawezi kukuelewa.
Mzee mwenzangu hawa watoto wanazingua,sema nini dizasta na mbeya boi chuma wapumzishe,hawa ni kizazi hiki lakini wana kitu fulani cha kusikilizwaKwa hio Kado Kitengo, Disasta Vina, Boshoo, Nacha, Mbeya Boy Chuma na Black Mc ndio mnaowaona wana mashairi magumu kumzidi Ngwair au sio?
Madogo mnazingua mnazingua mnazingua madogo hamna heshima, hivi unaelewa maana ya freestyle kwanza? Unaielewa misingi hiphop na rap ipoje na ni ipi au unaropoka tu?
Wote niliowamention hapo juu wanabwata bwata tu sijaona rapper kidooogo ukiniambia Mbeya Boy Chuma anarap nitakuelewa hao wengine sijawaelewa wanarap nini, rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka narudia tena rap ni mtiririko na mpangilio wa mashairi yanayoeleweka, niambie Ngwair katika kurap kwake hukuwahi kumuelewa anarap nini na media zilikua zinapiga Ngoma zake top 10 alikua anafika mpaka namba 1 leo wewe dogo umemaliza la 7 juzi unaleta dharau za ki-wack humu?
Niambie huyo Cado Kitengo au Disasta lini ameshika namba 1 top 10? Sizungumzii boomplay au stream au blog yoyote nazungumzia public radio na TV ipi ameshika namba 1 kwenye top 10? Akachana akarap watu wakamuelewa anachofanya ondoa EaRadio dakika 10 za maangamizi ipi radio nyingine inayoelewa uwepo wake au boomplay na YouTube?
Hizo jeuri na viburi za kutokuheshimu waliotangulia ndio zinafanya msifike mbali, msiposupportiwa mnaanza maneno mengi mkisupportiwa mnajifanya miamba eti unaingia booth unatunga rap line "Disasta Vina ni km JO 70" motherfackers yaan madogo mnapenda battle's za ki-wack, faaaack you
Kwa hawa madogo wa sasa,Dizasta ni mkali mzee,labda ukimfananisha na nguli wa kale,ila kwa kizazi chake huwezi kutomtaja dizasta,labda kama unajambo nae lingineHuwa nacheka sana zile nonsense za kudai eti Dizasta ni mkali, these kids don't know shit.
Huyu lunya afananishwe na kina young wenzake kama young D na young killerWao wanahisi rapper mkali ni Lunya tu
Ukipata time mfuatilie Cado kitengoLimetokea wimbi la ivi visanii vya Sasa
Kuandika nyimbo mnazi record mnasiita freestyle
Au ndiyo hamjui maana ya mitindo huru?
Bongo freestyle walikuwa KING ZILAH na NIKKI MBISHI
wengine acheni izo mnajivua nguo
Unauhakika wanaziandika? Just because zimerocordiwa hainamaana sio freestyleLimetokea wimbi la ivi visanii vya Sasa
Kuandika nyimbo mnazi record mnasiita freestyle
Au ndiyo hamjui maana ya mitindo huru?
Bongo freestyle walikuwa KING ZILAH na NIKKI MBISHI
wengine acheni izo mnajivua nguo
naunga mkono hoja,mangwea alikuwa overrated sana kuzidi uwezo wake na hii inatokana na kupambwa na kupewa promo na media.media ikikupamba as long as una uwezo mdogo utaonekana mkubwa,same apply to marioo huyu dogo kakuzwa sana ila muda utaongea maana speed ya kuporomoka itamshangaza yeye mwenyewe na fans wake na mwisho wa siku akiangalia jina lilivyokuwa kubwa na mafanikio kidogo aliyopata ataishia kuwa mtumia madawa ya kulevya kama ilivyokuwa kwa mangwea.MUDA UTAONGEANgwair overrated na wauza unga na wala unga
Saigon tu alikuwa ana rap vizuri kuliko mashauzi ngwair
Acha chuki binafsi. Hadi Yesu anarudi hatatokea kama ngwea Tanzania. Madawa ni inshu binafsi ya mtu. Wasanii wote wakubwa na wakongwe wanauogopa hadi mzimu wa ngwea hadi leo. Maana jamaa ukimshirikisha kama msanii unajitambua labda umpe chorus ila ukimpa verse kashakufunika. Ngwea hajawahi kushika peni kuandika mistari. Sikiliza mahojiano ya KR na juma Nature usikilize wanachoongea. Muulize prof j kwenye wimbo wa Una, yeye mwenyewe anakiri kuogopa kumpa verse ngwea akaona ampe chorus, Fid Q kama tunavyojua alifuta verse, chid benz alivunja chupa akampiga marehemu baada yakuzidiwa kuchana, King zilla( RIP) studio aliishiwa pumzi akabaki anaropoka uamerika mwingi (you know) usio na maana. Ngwea ukimshirikisha kwenye RNB anauwezo wa kubadilika nae anaendana na RNB sikiliza ngoma zake na Steve RNB. ASikiliza freestyle aliyopiga XXL Miaka ile clouds FM akiwa na Quick ROCK na izzo bussiness ngwea anapewa topic anaflow kuhusu topic aliyopewa. Albums alizotoa ngwea ni miongoni mwa album bora kutokea. Kwenye hizo album hajarudia nyimbo za watu. Vijana kubalini ukweli, freestyle ya sasa msanii ukimwita radio station tofauti lazma atarudia mistari tu aliyochana radio iliyopita, kitu ambacho ngwair alikua hafanyi ujinga huo.naunga mkono hoja,mangwea alikuwa overrated sana kuzidi uwezo wake na hii inatokana na kupambwa na kupewa promo na media.media ikikupamba as long as una uwezo mdogo utaonekana mkubwa,same apply to marioo huyu dogo kakuzwa sana ila muda utaongea maana speed ya kuporomoka itamshangaza yeye mwenyewe na fans wake na mwisho wa siku akiangalia jina lilivyokuwa kubwa na mafanikio kidogo aliyopata ataishia kuwa mtumia madawa ya kulevya kama ilivyokuwa kwa mangwea.MUDA UTAONGEA
Ngwair got Swagz... Jamaa alikuwa anafreestyle with Swagz kitu ambacho hakuna Emcee yoyote Kwasasa anafanya.Ngwair alikuwa na mshairi mepesi sana
Yani Albert Mangwair kwamba alikuwa overrated....naunga mkono hoja,mangwea alikuwa overrated sana kuzidi uwezo wake na hii inatokana na kupambwa na kupewa promo na media.media ikikupamba as long as una uwezo mdogo utaonekana mkubwa,same apply to marioo huyu dogo kakuzwa sana ila muda utaongea maana speed ya kuporomoka itamshangaza yeye mwenyewe na fans wake na mwisho wa siku akiangalia jina lilivyokuwa kubwa na mafanikio kidogo aliyopata ataishia kuwa mtumia madawa ya kulevya kama ilivyokuwa kwa mangwea.MUDA UTAONGEA
Marioo is overrated big time, hilo nakubaliana nalo sana.naunga mkono hoja,mangwea alikuwa overrated sana kuzidi uwezo wake na hii inatokana na kupambwa na kupewa promo na media.media ikikupamba as long as una uwezo mdogo utaonekana mkubwa,same apply to marioo huyu dogo kakuzwa sana ila muda utaongea maana speed ya kuporomoka itamshangaza yeye mwenyewe na fans wake na mwisho wa siku akiangalia jina lilivyokuwa kubwa na mafanikio kidogo aliyopata ataishia kuwa mtumia madawa ya kulevya kama ilivyokuwa kwa mangwea.MUDA UTAONGEA
We huna unachokijua ....Ngwair hukupata nafasi ya kumskilizaNgwair alikuwa wakawaida sana