Hiyo party ya no cell phone ndo ikoje?
aligegedwa tu kama groupie? au ndo huyu Future alikuwa nae?
Okay, hapo sawa.Kufanya in public naona sio sawa....hasa kwa mama mwenye watoto kama huyu
pole sanaSanaaa mkuu
Kumpenda mtu ambae hatambui ata uwepo wa joanah ni hatari
Kwani kipi cha ajabu hapo?Ivi wanawake wote wale USA bado mtu unatoka na mke wa mtu, tena cougar
Naona ajabu with all the fine, single, young women in the states he still had to wreck Pippen's homeKwani kipi cha ajabu hapo?
But how did he wreck Pippen's home though?Naona ajabu with all the fine, single, young women in the states he still had to wreck Pippen's home
wabongo tunafia watoto kaka..Wachunguzi wa mambo wanadai kulikuwa na party hivi karibuni ambapo "waalikwa" hawakutakiwa kwenda na cell phone. Huyu mrembo naye alikuwepo na inadaiwa aligegedwa na habari zikamfikia Scottie Pippen ambaye naye hakuwawia kuchukua hatua muafaka.
Wengi mitandaoni walishangaa kusikia huyu mrembo naye kaolewa kwa sababu wanadai saa zote alikuwa anaonekana na Kim Kardashian.
Miaka 19 ya ndoa watoto wanne wavulana watatu wa mwisho a baby girl down the drain.
wabongo tunafia watoto kaka..
kukosa hivyo...!!
balaa lingekua hatari!
wazungu wanaangalia furaha ya mtu binafsMuhimu sana maana ndoa inapovunjika pamoja na wanandoa wenyewe kuathirika lakini watoto ndiyo huathirika zaidi na inaweza kuwa kwa muda mrefu mpaka kwenye mahusiano yao ya kimapenzi.