Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Kuna Taarifa Kwamba rapper anaitwae P AND B ROCK ame pigwa chuma muda Sio mrefu Huko Carifornia.
Taarifa Zaidi zitawajia.
Taarifa Zaidi zitawajia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amemaliza mwendo kwa risasi RIEPWakuu Kuna Taarifa Kwamba rapper anaitwae P AND B ROCK ame pigwa chuma muda Sio mrefu Huko Carifornia.
.
Taarifa Zaidi zitawajia.View attachment 2355405
Alikuwa cripAlikuwa ni crip au blood
BurundiNchi ipi Ni salama kuishi jamani ama saudia
Oya kumbe huyu dogo kapigwa risasi...? Sijaiskia hii alipgwa lini mzee namkubaLi dana huyu mwambaAiseee Pnb Rock kadanja?
Marapa wa US sijui wana vita ya namna gani ya wenyewe kwa wenyewe?
Juzi hapo daktari wa Lil Tjay naye amethibitisha kuwa jamaa ana asilimia 10 za uwezekano wa kuendelea kuishi baada ya kupigwa risasi mara 7
Jamaa aikuwa na bitch yake kwenye restaurantAiseee Pnb Rock kadanja?
Marapa wa US sijui wana vita ya namna gani ya wenyewe kwa wenyewe?
Juzi hapo daktari wa Lil Tjay naye amethibitisha kuwa jamaa ana asilimia 10 za uwezekano wa kuendelea kuishi baada ya kupigwa risasi mara 7
Kwa kaka zake au wapi?Nchi ipi Ni salama kuishi jamani ama saudia
Matumizi mabaya ya simu.Ndiyo maana Bujibuji Simba Nyamaume ameleta uzi wa kuwaasa watu tutumie simu kupost vitu kwa tahadhari.View attachment 2355483
Post ya demu wake.
Be blessed broMatumizi mabaya ya simu.Ndiyo maana Bujibuji Simba Nyamaume ameleta uzi wa kuwaasa watu tutumie simu kupost vitu kwa tahadhari.
Kweli kabisaMatumizi mabaya ya simu.Ndiyo maana Bujibuji Simba Nyamaume ameleta uzi wa kuwaasa watu tutumie simu kupost vitu kwa tahadhari.
Nashukuru mwana-Maria👍Be blessed bro