Rapper Mmarekani aitwae P and B Rock Amepigwa Risasi na Kufariki

Rapper Mmarekani aitwae P and B Rock Amepigwa Risasi na Kufariki

Huko walikojaa crazy somali gangs kesi nyingi zakuuana/kupigana wao ndio wanaohusika!
Yah wanaweza kuwa crazy ila siunajuwa serikali za wenye akili,utanyooka mwenyewe...tena bila kupewa miadhabu mikali... Hamna kesi za mauwaji Norway...toa takwimu kama ishawahi tokea wasomali kuuwana wawili au watatu kwa mwaka?
 
Yah wanaweza kuwa crazy ila siunajuwa serikali za wenye akili,utanyooka mwenyewe...tena bila kupewa miadhabu mikali... Hamna kesi za mauwaji Norway...toa takwimu kama ishawahi tokea wasomali kuuwana wawili au watatu kwa mwaka?

Mkuu kwan Norway peke yake ndio Scandinavia!?
 
huu ujinga wa kulipuana kicenge utaukuta kwa watu weusi tu.
 
Back
Top Bottom