Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
Ripoti mbalimbali zinasema rapper maruufu wa kundi la 'Migos' amefariki kwa kupigwa risasi huko Houston,Marekani.
Bado hakuna taarifa ya kina kuhusu namna tukio lilivyotokea.
Bado hakuna taarifa ya kina kuhusu namna tukio lilivyotokea.