Rapper 'Take off' wa kundi la maruufu la Hiphop 'Migos' afariki kwa kupigwa risasi

Rapper 'Take off' wa kundi la maruufu la Hiphop 'Migos' afariki kwa kupigwa risasi

Hawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube

Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Duuh mkuu umenikumbusha kuna video kina Snoop Dogg waliwahi kuliponda hilo group na rap style yao daah

Kiukweli rap style ya wakongwe wa enzi hizo ilikuwa poa sana sema si unajua tena vijana wa siku hizi

Anyway apumzike kwa amani niliwahi kuwa shabiki yao enzi hizo ndiyo wanatoka na wimbo wao wa versace ila walivyoendelea nikawa siwaelewi
 
Hawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube

Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Ukweli ni kwamba mauaji na violence limekuwa ni jambo la kawaida sana katika Hip hop sio sasa bali tokea hiyo zamani.
 
Hapo utakuta ni makundi ya Black American ndio wamefanya hayo mauaji.. Adui wa mwafrika ni mwafrika (Kama Mwigulu anavyotufanyia uharamia)

Ndio maana 2Pack kwenye wimbo wake wa Only God Can Judge me alisema kwamba..

".....And they say it's the white man I should fear
But it's my own kind doin' all the killin' here"
YE aliposema alitukanwa
 
Duuh mkuu umenikumbusha kuna video kina Snoop Dogg waliwahi kuliponda hilo group na rap style yao daah

Kiukweli rap style ya wakongwe wa enzi hizo ilikuwa poa sana sema si unajua tena vijana wa siku hizi

Anyway apumzike kwa amani niliwahi kuwa shabiki yao enzi hizo ndiyo wanatoka na wimbo wao wa versace ila walivyoendelea nikawa siwaelewi
Snoop aliwachana sana na mimi nilimuunga mkono siku ile
 
1667306010391.png
 
Hawa watoto wa game la hip hop wa miaka ya karibuni madawa ya kulevya yanawaharibu sana. Wanauana sana siku hizi. Contents za ovyo lakini unakuta wimbo una views 200M youtube

Ndo maana mimi mpaka leo navutiwa na game la hip hop la mpaka miaka ya 2010's mwanzoni, hawa wa siku hizi siilewi rap style yao wala contents zao
Gun violence huko US imekuwa kitu cha kawaida, ila hawa wana wanauana wakiwa bado wadogo mno kiumri...
Extrovert
 
Polo G - i know
"My dawg was one of a kind a type rare"

REST EASY BRO
 
Back
Top Bottom