Marekani ndio maana nimekataa ofer ya kuishi huko
Marekani kwa sasa sio sehemu salama kuishi hasa kwa watu weusi.
Jamaa waliandaa Tamasha kwenye Jumba la Mshikaji wake na Chris Brown na yakatokea hayo yaliyotokea,Ni hatari sana kuishi marekani maana hadi watoto wadogo wana mabomba(miguu ya kuku)(Strapped ).Ni taifa la kishenzi kabisa, ni bora nikaishi msoga kuliko marekani.
We run thingsUSA baby!