Rapper Witness: Nimechora tatoo kiunoni ili nisichepuke

Kaz ipo aache kumchora mwanae au wazazi wake unamchora mtu ambae unaweza achana nae mda wowote
 
Ameona ya picha haikukiki sasa kaja na tatoo, huyu Dada atulie tu kama game limegoma.
 
ukiona demu mpaka anajichora tattoo jina lako,kweli mzee umepiga shoo za kibabe,
 
Kwahiyo kachora kwa nyuma,ili hasichepuke ............ ??? 🙄🙄🙄
 
Kwa sasa bongo female rapper nayemwela ni chemical, witness is way too outdated
 
Mbona kachora kwa nyuma?Ina maana jamaa huwa anapitia uwani ....nimewaza tuu coz kiuno pia kipo mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…