Wenzetu wako mbali sana kwenye swala la investigations, kama waliishika shika hiyo gari alama zao wanadakwa mapema sanaInasemekana hyo gari waliyoitumia kwenye mauaji wahuni waliiba sehemu , na wakaitelekeza mahali few hours after fatal shooting
Kwenye Finally Chris Brown kanyonga chorus tamu sana aiseeNamkubali jamaa ni bonge la story teller hata hapa tz msanii mwenye flow kama zake namuona ni dizasta
Ukisikiliza im not racist ya joyner afu ukisikiliza na mascular feminist ya dizasta utaona ni style moja ya msanii ku delivery content kwa ku switch side
Walikuwa na ugomvi kwani?Kwa kukisia watakua walitumwa na Yo gotti
Ni mbaya sana yaani, na kingine ma gang Lord wa haya makundi huwa wanawatoa hawa wasanii kuwalipia studio n.k so wanakuwa bonded sana huko hata kutoka inakuwa issue so lazima wabaki kuwa affiliated tu, cheki Snoop na umri wake ila he still F*** with the Crips mpaka leo, unategemea hawa young rappers wanaachaje kuwa inspired na hii lifestyle?Inasikitisha sana blacks wanavyoua wenzao. Angalia hawa jamaa waliomuua rapper xxxtention ni madogo kabisa , miaka 20 - 22. Sijui wanapata wapi ujasiri huu. ila gang life ni mbaya sana. Dogo ndio kwanza alikuwa anaanza kufaidi matunda ya kipaji chake. Inaumiza sana.
View attachment 2019946
Inategemea na spirit ya jeshi lakini hata wao sio mafala...walijipanga , kama jeshi litadhamiria watawakamata tatizo Vifo vya black jeshi linakuwa slow sanaWenzetu wako mbali sana kwenye swala la investigations, kama waliishika shika hiyo gari alama zao wanadakwa mapema sana
Im not racist chris brown hayupo labda usemee just let it go, stranger things na I dont dieKwenye Finally Chris Brown kanyonga chorus tamu sana aisee
Muite shaolinmocker View attachment 2020137View attachment 2020139View attachment 2020138View attachment 2020140Ana mikwara inaonekana
Hivi juice WRLD nae kavuta?Katika generation ya trap, wasanii waliokufa nikasikitika aisee ilikua ni Jarad higgins (Juice WRLD)
Hawa ma rapa pesa wanaingiza nyingi zinawadatisha,pia masela kitaa wana wamindHivi juice WRLD nae kavuta?
Aisee uko galaxy gani mzee?Hivi juice WRLD nae kavuta?
Hawa wasanii walivuma kwa mda mchache sijui ndio Masonic?Aisee uko galaxy gani mzee?
Tangu Dec 2019 na hili ndo kaburi lake
Hili hapa ni kaburi la tripple X
Unataka nikuwekee na picha ya kaburi la godzila wa salasala?
Yani huo ndio utofauti wa Marekani na bongo!Hawa ma rapa pesa wanaingiza nyingi zinawadatisha,pia masela kitaa wana wamind
Hate tena
Ova
Juice alianza 2015 ila usikute akawa ana nyimbo nyingi kuliko hata diamond wetu, huyu dogo kila kukicha ma producer aliokua anafanya nao kazi wamekua wakiachia nyimbo mpyaHawa wasanii walivuma kwa mda mchache sijui ndio Masonic?
Uzuri wa mziki wa marekani ukitusua tu umeikomboa familiaJuice alianza 2015 ila usikute akawa ana nyimbo nyingi kuliko hata diamond wetu, huyu dogo kila kukicha ma producer aliokua anafanya nao kazi wamekua wakiachia nyimbo mpya
Ila familia yake imepanga kutoa album yake mwezi december
Daah msela ndo kagoma kuvua hicho ki-mortal kombat tumuone sura?Muite shaolinmocker View attachment 2020137View attachment 2020139View attachment 2020138View attachment 2020140View attachment 2020142View attachment 2020141
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Hii ndio nimesikia leo sikujua kama jamaa alivuta. Kifo chake naye aliuliwa?Aisee uko galaxy gani mzee?
Tangu Dec 2019 na hili ndo kaburi lake
Hili hapa ni kaburi la tripple X
Unataka nikuwekee na picha ya kaburi la godzila wa salasala?
Katika generation ya trap, kwa upande wangu naweza kusema Juice ndio msanii ambaye alikuwa lyrical achana na kina XxxtentacionUzuri wa mziki wa marekani ukitusua tu umeikomboa familia
Aliji-overdose madawaHii ndio nimesikia leo sikujua kama jamaa alivuta. Kifo chake naye aliuliwa?
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app