Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Naona umemsahau Muumin Mwinjuma na Ali Choki.....ila kuna kina Bitchuka na Abdallah Mgonahazeru wa Vijana Sagha Rhumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamsikiaje Hashim Dogo wakati nyie Ni watoto Wa juzi au watoto Wa kishua, mlikua hamruhusiwi kwenda kwenye matamasha ya hip hop miaka ya 90!?Hao watoto uliwaweka namba ambazo hawastahili 1 incredible, Hashim dogo cjui Rungwe kama huyu cjawah ata sikia ngoma yake wala akiongelewa popote. Zaiid mzee wa kucopy. Cliff Mitindo mbana pua wa hiphop..list mbovu cjawah kuona. Wea is Ngwear? Mwana FA?
Qumamke wallah... Nishawahi mshuhudia saigoni akiteleza kwa mitindo huru, mngese anatisha aisee..Jose na Saigon ni wazuri ingawa wanapungukiwa usiriaz kwenye kuandika.Jose hasa kipindi hiki anaharibu sana.Saigon anafit zaidi mitindo huru na vilingeni
Unamjua vizuri Albert!?soma vzur playlist hyo haf acha unaz ngwea alkuw anarap aje had awe pengo? watu tuna nymbo zke zote xo tunamjua vzur
Wazuri hufa Mapema..Albert Mangwair aka papa aka Ngwair aka mimi, hakujawai tokea na jembe kama huyu jamaa, RIP. Basi tu hakuwa serious na kifo kikamchukua mapema.
Manyookoooo... Nenda kasikilize "Niko Mikononi Mwa Polisi".. Afu linganisha na utumbo sijui unaitwa " Bongo Hip Hop"For Jay moe its ok but fid q its big NO,,
Sugu he wasnt good to that much but he can stand as legendary and icon for hiphop hustller in tanzania together with ku-crew, xplastaz,kikosi with dogo mwanaharamu,saigoni,solothang,shindo,Jcb,Mo tech aka jay moe,fdc,lwp,manzese crew, etc
Hahahahah... Acha unanga, Wa Kenya Ni Abbas Kubaff afu Ni mtoto mdogo sana kwa Imam Abbas.aaah inliptiwa bhana nkidhan jamaa anamxema abasi wa kenya
Qumanyokoooo... Kumbe wewe mwenyewe Ni new rapper.KUTOKANA NA KUFATILIA HIP HOP KWANGU KWA MZIKI WA MAHADHI HAYO NCHINI TANZANIA KWA MUDA WOTE NALETA MARAPPER NA WAANDISHI BORA KWA MUDA WOTE :
1. JAY MOE
2. FID Q
3. PR. JAY
4. SUGU
5. FATHER NELLY
6. HASHIM DOGO/SAIGON
7. STOPPER RHYMES
8. LANGA KILEO(hayati)
9. NIKKI MBISHI/SOLO THANG
10. BONTA/NASH MCEE
11. ONE INCREDIBLE
12. JCB
13. SONGA
14. NIKKI II
15. LORD EYEZ
16. G NAKO
17. ZAIID/P THE MCEE
18. CHINDO
19. JOH MAKINI/MWANA FA
20. MANSU LEE
21. ZILLAX/ARBERT MANGWEAR(hayati)
22. STAMINA
23. R.O.M.A
24. WAKAZI
25. STEREO
26. DARASA
27. MABESTE
28. JOSE MTAMBO
29. CLIF MITINDO(atakuja kusumbua sana sababu flow zake tamu sana kiukweli)
30. Loading........98.9%(pongwer new rapper)
NOTE:
TOA MAONI YAKO ILA KWA UPANDE WANGU MIMI MTAYARISHAJI WA PLAYLIST HII HAYO NDO MAWE YANGU NA WAPO KTK NAFASI ZAO PASIPO UPENDELEO "WOWOTE" NA SIDHANI KUNA ATAKAYEKOSOA WAPO KTK MSIMAMO HUO KUTOKANA NA UWEZO WAO WA UTUNZI WA MASHAIRI YA KI-HIP HOP!
Ahsantenii.........
*Afande sele namkubali ila sina hakika anaimba mahadhi gani maana yeye na mpoto waje kutuambia wanaimba nini !wanachanganya kwa kweli !
Hakuna kama Chege Chigunda... Huyo ndiyo namba moja....Qumanyokoooo... Kumbe wewe mwenyewe Ni new rapper.
@KakaKipande njoo mpe kazi huyu.
Unamuwekaje Anko JCB #Wachaaa Wa 12.. Ukosefu Wa nidhamu.
21.Zillax/Magwea!? Kwamba Zillax Wa kumlinganisha na Ngwea, acha usengerema.
Natamani mlioanza kuifatilia hip hop baada ya 2006 muwe mnakaa kimya tu.
Oiii unajifanyisha kuvuta bhangi mbichi sio?Nuhu Mziwanda anaweza sana... anadeserve top three hapo...
hao rappers wa kenya au
Khaaa....kilaza ---- wew mziki wenyew umeujulia wap we kama humjui hashim dogo bac inatoxha kuw ww hujui lolote hip hop haf pia joh makini hana utunzi hata robo wa kuwafkia hao wa juu mzik umeanza kufatlia jana njoo uone pc yang ilvyojaa albam zao na mamix tape ya hayo majembe
Father nellykuna jamaa nmemsahau alikuwa ktk kundi X-Plastaz ni hatari