Rappers bora wa muda wote nchini Tanzania

Rappers bora wa muda wote nchini Tanzania

Mtazamo wangu heading yako ungebadilisha na kusema "Mc bora wa muda wote nchini Tz" maana kwa ufahamu wangu kuna tofauti ktk hvyo vitu viwili..... kwahyo baadhi ya ma Mc kuwaita ma Rapper ni kuwakosea heshima.
 
lord na bonta salut,, pr na jay moe ni true legendary kabisa
 
JOH MAKINI, KING WA FLOW STYLES AFRICA NZIMA, HAKOSEAGI JOH FLOW MINGIII. LIST IKO VIZURI
 
Rapa bora ni Albert mangwea then wengine wanafuata.alikuwa mahiri wa mziki alikuwa na uwezo mkubwa sana.
 
KUTOKANA NA KUFATILIA HIP HOP KWANGU KWA MZIKI WA MAHADHI HAYO NCHINI TANZANIA KWA MUDA WOTE NALETA MARAPPER NA WAANDISHI BORA KWA MUDA WOTE :

1. JAY MOE
2. FID Q
3. PR. JAY
4. SUGU
5. FATHER NELLY
6. HASHIM DOGO/SAIGON
7. STOPPER RHYMES
8. LANGA KILEO(hayati)
9. NIKKI MBISHI/SOLO THANG
10. BONTA/NASH MCEE
11. ONE INCREDIBLE
12. JCB
13. SONGA
14. NIKKI II
15. LORD EYEZ
16. G NAKO
17. ZAIID/P THE MCEE
18. CHINDO
19. JOH MAKINI/MWANA FA
20. MANSU LEE
21. ZILLAX/ARBERT MANGWEAR(hayati)
22. STAMINA
23. R.O.M.A
24. WAKAZI
25. STEREO
26. DARASA
27. MABESTE
28. JOSE MTAMBO
29. CLIF MITINDO(atakuja kusumbua sana sababu flow zake tamu sana kiukweli)
30. Loading........98.9%(pongwer new rapper)


NOTE:
TOA MAONI YAKO ILA KWA UPANDE WANGU MIMI MTAYARISHAJI WA PLAYLIST HII HAYO NDO MAWE YANGU NA WAPO KTK NAFASI ZAO PASIPO UPENDELEO "WOWOTE" NA SIDHANI KUNA ATAKAYEKOSOA WAPO KTK MSIMAMO HUO KUTOKANA NA UWEZO WAO WA UTUNZI WA MASHAIRI YA KI-HIP HOP!

Ahsantenii.........

*Afande sele namkubali ila sina hakika anaimba mahadhi gani maana yeye na mpoto waje kutuambia wanaimba nini !wanachanganya kwa kweli !
Sikiliza ngoma zao kitangoma
 
Nashukuru hujamweka nick mbishi kwa maana kwa kusema ukweli bongo siyo saiz yake Nick ni hiphop professor na si hiphop artist... Wakufunz wenzake ni pamoja na jaymoe.. Afande sele fid q..songa na wengine stamina bado ni tutorial assistant anasimamia seminars tu hahahahaaa...
 
sasa afande anaimba mahadhi hani? sababu hata hip hop unawez kuijua ktkana na mapgo ya beat, yule anajijua mwenyew uimbaj wake ila kibongo bongo anawez ekwa kwa mwanahip hop
mkuu kwahiyo mapigo ya beat za afnde sele yanaonyesha anaimba taarab au nn........

by the way kumjua mtu mwanahiphop kisa midundo ni uwongo...... mwanahiphop halisi atachana hata kwa mlio wa treni likipita
 
Huyu jamaa kadhamiria kabisa kuwavuruga watu hapa.
hasa jaman mnataka mwana FA awe juu ya hashim dogo wakati huyo FA anatoka alkua anacopy style ya hashim, na bado hakuwa anafikia uwezo
 
Nashukuru hujamweka nick mbishi kwa maana kwa kusema ukweli bongo siyo saiz yake Nick ni hiphop professor na si hiphop artist... Wakufunz wenzake ni pamoja na jaymoe.. Afande sele fid q..songa na wengine stamina bado ni tutorial assistant anasimamia seminars tu hahahahaaa...
Mbishi akiwa professor na One atakuwa chuo c ndio
 
Hahahahaaaaa listen to them again sikiza style na mashair hahahahahaaaa they are all mine bt to be honest nick is highest one.
 
Back
Top Bottom