Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Hawa nd'o rappers na freestylers wakali na wakatili wanaoitendea haki rap ndani ya Tanzania,
Ingawa watanzania wengi bado hawajawajua.
Hao wengine wenye majina makubwa wanabebwa na upepo wa promosheni tu, ila hamna kitu.
Rappers & freestylers wakatili Tanzania ni
1. WA KIAFRIKA,
2. MAARIFA, THE BIG THINKER,
3. SIR LU,
4. BOSHOOO NINJA,
5. HYDARY SCODA,
6. SELEMENTALLY,
7. CLIMAX BIBO
Mtakuja kuwajua tu.
Ingawa watanzania wengi bado hawajawajua.
Hao wengine wenye majina makubwa wanabebwa na upepo wa promosheni tu, ila hamna kitu.
Rappers & freestylers wakatili Tanzania ni
1. WA KIAFRIKA,
2. MAARIFA, THE BIG THINKER,
3. SIR LU,
4. BOSHOOO NINJA,
5. HYDARY SCODA,
6. SELEMENTALLY,
7. CLIMAX BIBO
Mtakuja kuwajua tu.