Rappers wakatili Tanzania ambao watanzania wengi hawawajui

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,635
Reaction score
4,160
Hawa nd'o rappers na freestylers wakali na wakatili wanaoitendea haki rap ndani ya Tanzania,
Ingawa watanzania wengi bado hawajawajua.

Hao wengine wenye majina makubwa wanabebwa na upepo wa promosheni tu, ila hamna kitu.

Rappers & freestylers wakatili Tanzania ni

1. WA KIAFRIKA,
2. MAARIFA, THE BIG THINKER,
3. SIR LU,
4. BOSHOOO NINJA,
5. HYDARY SCODA,
6. SELEMENTALLY,
7. CLIMAX BIBO

Mtakuja kuwajua tu.
 
Tuwajue lini tena akati wanafahamika of course They know how to rap and hiphop in general kama walivoua kumi za maangamiz but ishu mafanikio sasa ya mziki wao hamna kikubwa walichonacho kumzidi yule aliyeshindwa kumi za maangamizi nick wa pili
 
Mzee mbona umeweka list ya Wavuta bange wenzio ukisema ni wafanya hip hop?!
 
Kweli nimezeeka simjui hata mmoja kwenye hiyo list
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…