Rappers wakatili Tanzania ambao watanzania wengi hawawajui

Selementally ameua sana kwenye dakika kumi za maangamizi asee
 
Nimewasikia wawili tu kwenye list climax na bigthinker.
 
Umewapata kwenye Dk 10 za maangamizi EA radio halafu unasema hawajulikani
 
Umemsahau jiwe la mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…