Rashid Khalidi: Mauaji yaliyofanyika Palestina ni mauaji ambayo hayakuwahi kutokea hapo kabla

Rashid Khalidi: Mauaji yaliyofanyika Palestina ni mauaji ambayo hayakuwahi kutokea hapo kabla

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Wana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.

Screenshot_2024-12-02-08-48-23-665_com.android.chrome.jpg
 
Wana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.

View attachment 3167065
Israel bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyote
 
Wana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.

View attachment 3167065
Kwaiyo baada ya kudundwa na wanaume wakaenda kulipiza kisasi Kwa wanawake na watoto wasio na silaha?
 
Wana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.

View attachment 3167065
Lieni msiba wa wa nyumbani kwanza ndipo muende kwa jirani. Nafikiri ni mda mwafaka kujadili utekaji tufanye nini. Hao Israel waache tutawakuta
 
Wana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.

View attachment 3167065
jambo la kwanza, msemaji ni mjinga wa elimu, hajui maana ya genocide. kama hawawezi kufundishika basi just google it, au tafuta Genocide convention ya 1948, soma ujue maana ya genocide. the same wamekuwa wakisema al jazeera, wanaita vita ya Gaza ni genocide, lakini hakuna kosa la genocide limefanyika pale. makosa ambayo yanaweza kuwa yametendeka ni aidha war crime au crimes against humanity.

Jambo la pili, Hata ICC juzi walipotoa arrest warrant kwa Netanyahu na waziri wake, hawakuona mazingira yeyote ya genocide, ndio maana walitoa warrant ya WAR CRIMES, na sio war crimes ya mauaji kinyume na sheria za vita, NO, waliona kwa sheria za vita hakuna kosa limetendeka, kwa maana ya mashambulizi. warrant waliyotoa ni war crimes kwa kigezo kwamba Netanyahu na wenzake walikuwa WANAZUIA CHAKULA KUWAFIKIA GAZA (kwa kipengele cha starving people), na waziri wa ulinzi alishawahi kutamka hilo hivyo ushahidi upo wazi, alisema atakata njia hakuna chakula kitaingia Gaza, na kweli alikata. ila hakuna genocide na hata crimes against humanity haipo kwa sababu kile eneo israel alikuwa anapiga, alikuwa analenga palipo na hamas, na upo ushahidi kwamba wengi wamekufa kwa sababu walikuwa wanatumia raia kama shield jambo ambalo ni justifiable kisheria. sawa na jirani yako amekusanya watoto wamemzunguka alafu anarusha risasi kwako, anaua watoto wako, na anafanya hivyo akijua wewe hautajirudishia kwa kuogopa kuua watoto waliomzunguka. Je? utaacha kurusha risasi alipo ili uendelee uumia au utapiga tu kama atakufa na watoto sawa ili na wewe watoto wako waliobaki wapone. akili ya kawaida tu hata haihitaji kwenda shule.
 
Israel bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyote
sasa unachoshangaa nini? kwamba kwa umri wako ulikuwa unaamini kuna nchi yeyote duniani inajitegemea peke yake? upo karne gani? cha ajabu nini Israel kushirikiana na nchi zingine kwenye ulinzi na vita? enzi na enzi nchi zote zimeishi na washirika wake.
 
sasa unachoshangaa nini? kwamba kwa umri wako ulikuwa unaamini kuna nchi yeyote duniani inajitegemea peke yake? upo karne gani? cha ajabu nini Israel kushirikiana na nchi zingine kwenye ulinzi na vita? enzi na enzi nchi zote zimeishi na washirika wake.
Kumbe? Hata majambazi watatu wakishirikiana kukutoa roho ni sawa tu. Maisha yote majambazi yanashurikiana kuiba na kuua watu
 
Israel bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyote
Sheikh hiyo ni kawaida. Hezbollah wanategemea silaha toka Iran,Russia, Iraq n.k tunategemeana hapa Duniani. Russia vita yake na Ukraine wanapewa silaha na China, Korea na Iran imekuwa pia nayo inamwongezea ndo urafiki.
 
Kumbe? Hata majambazi watatu wakishirikiana kukutoa roho ni sawa tu. Maisha yote majambazi yanashurikiana kuiba na kuua watu
hakuna vita isiyokuwa na washirika. bushman pekee ataona ajabu Israel kushirikiana na mataifa mengine kupigana vita.
 
Wana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.

View attachment 3167065
Kijana wa mtaani akipigana na mwakinyo wakaenda round hadi ya mwisho ushindi ukaamuliwa kwa point kuwa mwakinyo kashinda, wewe wadhani kati ya hao wawili nani atapta sifa zaidi?
 
Kijana wa mtaani akipigana na mwakinyo wakaenda round hadi ya mwisho ushindi ukaamuliwa kwa point kuwa mwakinyo kashinda, wewe wadhani kati ya hao wawili nani atapta sifa zaidi?
Aliyeshinda sheikh wangu. Aliyeshinda ndo anapata ushindi.
 
hakuna vita isiyokuwa na washirika. bushman pekee ataona ajabu Israel kushirikiana na mataifa mengine kupigana vita.
Hata Tanzania dhidi ya Uganda kulikuwa na washirika kibao kila upande
 
Back
Top Bottom