Cha ajabu Isreal kapewa silaha zote za dunia unazozijua weye huku hamas akinyimwa misaada yote ya dunia. Lkn majeshi ya Isreal bado yanateketea kila siku mwaka sasaHamas na Hizb bila Iran, Urusi n.k ni wepesi kuliko manyoya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha ajabu Isreal kapewa silaha zote za dunia unazozijua weye huku hamas akinyimwa misaada yote ya dunia. Lkn majeshi ya Isreal bado yanateketea kila siku mwaka sasaHamas na Hizb bila Iran, Urusi n.k ni wepesi kuliko manyoya.
Underdog kumtoa ngeu anayedaiwa ni the most elite army, intelligence, with sophisticated powerful weapons ndilo linafurahisha.Aliyeshinda sheikh wangu. Aliyeshinda ndo anapata ushindi.
Unataka Marekani ianguke ili Iran iwe super power au? Ili wake zetu walazimishwe kujifunika usoniHakuna taifa lilodumu maisha yote likawa na nguvu, huanguka tu hio ndio historia ya dunia
Unabishana na degree za MadrasaHamas na Hizb bila Iran, Urusi n.k ni wepesi kuliko manyoya.
Aliyeshinda sheikh wangu. Aliyeshinda ndo mshindiKijana wa mtaani akipigana na mwakinyo wakaenda round hadi ya mwisho ushindi ukaamuliwa kwa point kuwa mwakinyo kashinda, wewe wadhani kati ya hao wawili nani atapta sifa zaidi?
Hamas na Hezbullah wameshinda vita!Israel bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyote
Subili yaje yabishe! Utasikia "Israel inauwa wanawake na watoto" Sasa tunajiuliza tangu vita ianze Israel hajawahi kuuwa Hamas hata mmoja? Na kama aliwahi kuuwa aliwauwa wakiwa kwenye kambi zao za kijeshi au aliwauwa wakiwa miongoni mwa raia?jambo la kwanza, msemaji ni mjinga wa elimu, hajui maana ya genocide. kama hawawezi kufundishika basi just google it, au tafuta Genocide convention ya 1948, soma ujue maana ya genocide. the same wamekuwa wakisema al jazeera, wanaita vita ya Gaza ni genocide, lakini hakuna kosa la genocide limefanyika pale. makosa ambayo yanaweza kuwa yametendeka ni aidha war crime au crimes against humanity.
Jambo la pili, Hata ICC juzi walipotoa arrest warrant kwa Netanyahu na waziri wake, hawakuona mazingira yeyote ya genocide, ndio maana walitoa warrant ya WAR CRIMES, na sio war crimes ya mauaji kinyume na sheria za vita, NO, waliona kwa sheria za vita hakuna kosa limetendeka, kwa maana ya mashambulizi. warrant waliyotoa ni war crimes kwa kigezo kwamba Netanyahu na wenzake walikuwa WANAZUIA CHAKULA KUWAFIKIA GAZA (kwa kipengele cha starving people), na waziri wa ulinzi alishawahi kutamka hilo hivyo ushahidi upo wazi, alisema atakata njia hakuna chakula kitaingia Gaza, na kweli alikata. ila hakuna genocide na hata crimes against humanity haipo kwa sababu kile eneo israel alikuwa anapiga, alikuwa analenga palipo na hamas, na upo ushahidi kwamba wengi wamekufa kwa sababu walikuwa wanatumia raia kama shield jambo ambalo ni justifiable kisheria. sawa na jirani yako amekusanya watoto wamemzunguka alafu anarusha risasi kwako, anaua watoto wako, na anafanya hivyo akijua wewe hautajirudishia kwa kuogopa kuua watoto waliomzunguka. Je? utaacha kurusha risasi alipo ili uendelee uumia au utapiga tu kama atakufa na watoto sawa ili na wewe watoto wako waliobaki wapone. akili ya kawaida tu hata haihitaji kwenda shule.
Safi kabsaNiliona mbuge WA Israel anasema yaani wanawapa kipigo ambacho itabaki kuwa historia kwao kizazi na kizazi ili wawaogope na wakome kabisa kuwachokoza.yaani hata kizazi cha 100 wakisikia Waseme hawa watu hapana.
Safi tena.watu wanakufa Sana .wapalestina wanateseka mnoSafi kabsa
Nyakati za kiza usilinganishe na sasa, nyakati nwatu walikuwa wakipigana kwa kufatana sio za sasa unapigwa na mtu yuko maelfu ya maili akiwa kwenye kiti. tutolee mahistoria mfu hapaHakuna taifa lilodumu maisha yote likawa na nguvu, huanguka tu hio ndio historia ya dunia
Vita ni vita Mura wao walifurahia sana October 7Safi tena.watu wanakufa Sana .wapalestina wanateseka mno
Hata Manchester united wakifunga magoli ya mbali na dakika 90, hivi sasa timu mbovu kabisaNyakati za kiza usilinganishe na sasa, nyakati nwatu walikuwa wakipigana kwa kufatana sio za sasa unapigwa na mtu yuko maelfu ya maili akiwa kwenye kiti. tutolee mahistoria mfu hapa
Tuendelee kusubiri sheikh wangu. Na tumuombe mola atusaidie maana hali imekuwa tofauti kwa sasa. Tutakuja shinda tu inshalah huko mbeleni kwa sasa tujipange.hawa wendawazimu wamefanya mauaji ya kimbali. Laana kum kabisa.Hata Manchester united wakifunga magoli ya mbali na dakika 90, hivi sasa timu mbovu kabisa
Wamepata shida kuliko mswahaba?Tuendelee kusubiri sheikh wangu. Na tumuombe mola atusaidie maana hali imekuwa tofauti kwa sasa. Tutakuja shinda tu inshalah huko mbeleni kwa sasa tujipange.hawa wendawazimu wamefanya mauaji ya kimbali. Laana kum kabisa.
Unataka marekani isianguke ili musikerwe na lgbtqUnataka Marekani ianguke ili Iran iwe super power au? Ili wake zetu walazimishwe kujifunika usoni
Na palestina bila Allah...Israel bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyote
Kwaiyo baada ya kudundwa na wanaume wakaenda kulipiza kisasi Kwa wanawake na watoto wasio na silaha?
Ndugu yangu, hapa wanaongelea habari ya mauaji ya Israel kwa Palestine. Hawa wapalestina ni watoto wa Mungu kama ilivyo kwa wayahudi.Israel bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyote