Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Una uhakika ndugu,Kwaiyo baada ya kudundwa na wanaume wakaenda kulipiza kisasi Kwa wanawake na watoto wasio na silaha?
Hanniye, Nasraaah, Sinwar na viongozi wengine walikuwa ni wanawake na watoto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika ndugu,Kwaiyo baada ya kudundwa na wanaume wakaenda kulipiza kisasi Kwa wanawake na watoto wasio na silaha?
Underdog kumtoa ngeu anayedaiwa ni the most elite army, intelligence, with sophisticated powerful weapons ndilo linafurahisha.
Mfuti, Kabla Israel hajalipiza kisasi, mlosema..! Israel ajaribu kirusha hata jiwe Iran kama hajafutwaIsrael bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyo
kumbuka wapalestina wamekuwa wakiuwawa na kukaliwa kimabavu miaka mingi na Israel kabla hata ya oct 7th!Na yale yaliyofanyika Israel pia hayakuwahi kufanyika wapi.....???
Kwa hiyo wa Israel walitakiwa watulie tu baada ya kufanyiwa unyama ule.....???
Hakuna mwenye haki ya kuondoa uhai wa mwingine....kama umeua watu wa wenzako na wa kwako watauwawa tu......
UNYAMA NI UNYAMA
Vivo hivyo huko kwao. Bila muisrael hakunaga America power mkuuIsrael bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyote
Kwahiyo kumbe Hamas walikua wanatafuta SIFA tuKijana wa mtaani akipigana na mwakinyo wakaenda round hadi ya mwisho ushindi ukaamuliwa kwa point kuwa mwakinyo kashinda, wewe wadhani kati ya hao wawili nani atapta sifa zaidi?
Kwahiyo kumbe Hamas walikua wanatafuta SIFA tuKijana wa mtaani akipigana na mwakinyo wakaenda round hadi ya mwisho ushindi ukaamuliwa kwa point kuwa mwakinyo kashinda, wewe wadhani kati ya hao wawili nani atapta sifa zaidi?
Yaani kobazi wanachekesha sana wanajitangaza washindi wa vita ili hali kipindi cha mapigano wanalia wanaonewa dunia iwateteWana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.
View attachment 3167065
Tatizo ni hamas kuishambulia Israel hivyo wanavuna walichopanda.vita ni mbaya pia ni upuuzi kuwashabikia hamas kwamba ati wana nguvu kijeshi.ni kujidanganya tu tuziombee hizo ziache vita.Wana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.
View attachment 3167065
Attach files
Hamas bila Iran, bila Hezbollah, bila Yemen wana nguvu yoyote?Israel bila marekani bila nato bila UK ni sawa na mgonjwa wa kisukari hana nguvu yoyote
Hiyo haiwapi haki ya kuwaua wenzao alafu wakilipiziwa wana play victimskumbuka wapalestina wamekuwa wakiuwawa na kukaliwa kimabavu miaka mingi na Israel kabla hata ya oct 7th!
kwahiyo walitakiwa watulie tu waemdelee kuuwawa?Kwa mtizamo huo,South Africa mpaka leo ingekuwa inatawaliwa na wakoloni kimabavu!Hiyo haiwapi haki ya kuwaua wenzao alafu wakilipiziwa wana play victims
Habari ikiwa na chanzo chake ni Aljazeera ni ya kupuuza sababu Qatar ipo vitani na Israel war of the words shame kabisaWana report Al Jazeera. Hapo ndo nashindwa kuelewa kabisa. Sisi huku tunasema Hezbollah wameshinda. Wao kule tena Al Jazeera wanasema tofauti kuwa Israel ilipiza kwa kuua watu wengi kuliko.
View attachment 3167065
Sijakuelewa kabisa sheikh wangu. Unataka niipuuze al jazeera? Unafaham ni miaka mingapi mi nafuatilia al jazee? Aiseee.....Habari ikiwa na chanzo chake ni Aljazeera ni ya kupuuza sababu Qatar ipo vitani na Israel war of the words shame kabisa
Umemsahau mohamed Deif nae ni mtoto ameuawaNasrallah na Sinwar ni watoto?