Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Babutale where are you?

Wabongo wanafiki sana toka lini mtu kakaa sober house only one month, kesharushwa studio?!?

Wimbo haujahit babutale kala kona..mxiuuu
Acha kuropoka,

Chid katoroka sober house, Tale amezira amesema hawezi kumsaidia tena mtu aliyetoroka sober house.

Sasa hivi ni zamu yako tunaomba umsaidie.
 
Hapana,huyo sio Chid Benz ninayemfahamu mimi,yaani kuanzia rangi ya Ngozi mpaka sura,kichwa chake, bila kisahau kile kichogo chake kwa nyuma kilivyokaa, NAKATAA KWA NGUVU ZOTE KWAMBA HUYO SIO CHID NENZ na ningependa pindi mwenyewe akiona hii post akufungulie Kesi ya udharirishaji na Jamii Administration watoe ushirikiano ukamatwe
 
Hebu pitie na hii video mje mfute comments zenu, mtoe ushauri wa maana
Hiyo video nimeiangalia kwa makini bado nakataa huyo sio CHID BENZ, na nitamtafuta mwenyewe kisha nitatupia hapa jukwaani, weka video inayomuonyesha sura yake vizuri, nakuhakikishia mtoa mada endapo itathibitika taarifa yako ya uongo nitahakikisha kesi ya UCHOCHEZI unaipata, maana nina wasi wasi umetumwa, hiyo sauti tu ya kuchana jamaa anaonekana anamuiga CHID BENZ
 
Haihitaji huruma ya mtu no yy kukaa na kujiangalia anatoka WAP na non mwisho wake so vingine
 
Ninachojifunza ni kuwa serikali yetu hii haiwezi kupambana na mafisadi na wauza unga. Inaishia kutisha watumishi tuu, lakini wale wezi halali bado wapo hukohuko kwenye chama na ubunge, na wauza unga wote wamesharudi mitaani. Ni yaleyale, mtu keshatuliza mzuka, nothing will ever change.
 
serikali ikamate wauza unga maana hawa ndo wanaoharibu taifa la leo ba kesho hasa vijana
this is why mataifa kama china wanaua wauza madawa ya kulevya kwa sababu ni bora kumwondoa mmoja anayesupply ambaye kumpata inawezekana kuliko kupoteza a lot of resource dealing with hawa watu wa mwisho
 
Mbona vijana wengi wanatumia? Huyo ni nani mpaka awe kichwa cha habari?muache aendelee kutumia...kwa sababu yanapatikana...ndio maaana anatumia......
 
Hivi kama Chidi kwa afya ile anajua pa kununua madawa, polisi kweli hawajui anayeuza? Tanzania hakuna vita dhidi ya madawa ya kulevya!
 
Umeongea kama watu 1000 eddo
 
Starehe ya unga ni sawa na mtu uko ndani ya ndege sasa umeachiwa unaelea angani, tabu ukifika chini unagusa ardhi kwa kishindo, kishindo kwa mbwiya unga ni pale unga umeisha mwilini sasa anahitaji kuweka dose ingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…