Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Huyu ndo mzeee wa ngoma itambaee
Dar e salam stendap
Ilalaaaaaaaaaaaa
Na kipindi chake cha eatv

Kweli maisha n kama kitonga unapanda kwa masaa lakin unashuka na sc 1

Young dee na,wenzako mspoangalia na nyie mtakua zaid ya huyu brother ako

Wacha sembe iitwe sembe

Starehe zote n tamu lakin hiii ndo funga kaz

1483163192073.jpg
1483163231909.jpg
 
Chid Benz alikuwa sober house kwa ajili ya kumsaidia ili aondokane na hili janga la madawa ya kulevya
maskini Chid wa watu tangu aingie sober house sijui hata kama miezi miwili ilifika
kwa tamaa za pesa watu wakachangamkia fursa kwa kumtoa kule sober na kumleta uraiani ambapo unga unapatika kwa bei rahisi
watu wamepiga pesa msanii wetu kapotea tena daaah this is not fair
mungu ni wetu sote, happy new year
 
Edo kumwembe umeandika article moja safi sana , hapa manyanya ndo maskani yake anakuaga na lord eyes wa nako 2 nako sema yeye lord garo bado haijawaka vizuri u smart u smart bado upo lakini mwili ndo unaisha sasa ,
 
Yote kwa yote nani anaingiza unga????hayo yooote ni matokeo,kipi kiini au chanzo cha tatizo?Nchi hii haijawah kuamua kwa dhati kupambana na biashara ya dawa za kulevya,huwa ina dili na athari zitokanazo na biashara hiyo.Kwanini Uchina na Indonesia wanasifika kwa kupambana na uingizaji wa Unha?why sisi tunapambana na athar za Unga?
Same to Ujangiri,kila kukicha tunakamata Pembe za ndovu ambazo tembo wake washakufa,badala ya kupambana kuwalinda Tembo,ni hopeless kabisa,lazima tubadilikie
 
Chid Benz alikuwa sober house kwa ajili ya kumsaidia ili aondokane na hili janga la madawa ya kulevya
maskini Chid wa watu tangu aingie sober house sijui hata kama miezi miwili ilifika
kwa tamaa za pesa watu wakachangamkia fursa kwa kumtoa kule sober na kumleta uraiani ambapo unga unapatika kwa bei rahisi
watu wamepiga pesa msanii wetu kapotea tena daaah this is not fair
mungu ni wetu sote, happy new year

Tale ndiyo kamtoa mtaani akampeleka Sober house yeye chidi akatoroka Sober house karudi mtaani kula unga na sasa Tale amesema hamsaidii tena na nyie msaidieni kama kweli mnampenda.


kwasasa sober house pekee anayoipenda Chid ni mochwari.
 
Tatizo sio mwanasaikolojia. Hivi eddo anahisi rehab hazina wanasaikolojia????
Huyo chidi anahitaji kukutana na Yesu Kristo ambadlishe just like he did to TERRY FANANI WA HBC
Hizi imani zingine zimekuwa kama upofu,
 
Nasikia anaitwa Chid Vits, hiyo ya benz umeitoa wapi?

Kusema kweli some people wanapata oppurtunities na kuzipoteza but he can fight back if he wants to.
 
hawa mateja kuwapeleka rehabu sijui wapi huko ni kupoteza pesa tu.

dawa ni kuchukua wote aina ya chidi,peleka jera huko.wakae huko hadi akili ziwarudie,wanasemaga arost sijui nn huko.hata walie na kutoka povu hakuna kuwapa dawa.akianza kulia ni kupeleka shamba akalime huko chapa sana viboko.

kama arosto inaua acha wafe,watakao baki watajifunza kitu
Hahahahahahaha! Aisee sijajua kuwa wewe ni dada au kaka,lakini naona umeandika kwa hasira na mood za kuwachoka sana! Aisee Ukifanya ivo unawaua wote! Hatobaki hata mmoja..!!
 
Chid Benz alikuwa sober house kwa ajili ya kumsaidia ili aondokane na hili janga la madawa ya kulevya
maskini Chid wa watu tangu aingie sober house sijui hata kama miezi miwili ilifika
kwa tamaa za pesa watu wakachangamkia fursa kwa kumtoa kule sober na kumleta uraiani ambapo unga unapatika kwa bei rahisi
watu wamepiga pesa msanii wetu kapotea tena daaah this is not fair
mungu ni wetu sote, happy new year
Mshaanza kutafuta wachawi?
 
Back
Top Bottom