Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Ila mimi nawasiwasi hawa wasanii wanalogana maana si kawaida,unajua huyu jamaa ukikutana naye mitaa ya kinondoni unaweza sema kichaa
Mbona watu mnajaribu kutafuta kila aina ya excuse ili ionekane hawa wasanii mateja wanaonewa/kulogwa!!! Hamna kuloga hapo wala nini.. Hayo ni maamuzi yao tena waliyafanya wakiwa watu wazima.
 
Ngada ni habari nyingine hakuna namna amrudie muumba fasta bado anapumzi tofauti na hapo clouds watanza kupiga nyimbo zake tukimkumbuka
 
Inasikitisha sana usiombe awe kaka ako utahisi kufaaaa.Jamani ee mungu baba msaidie huyu mwanao.
Pia msaidie na mama yake huko aliko, maanake kumwona mtoto wako akiwa ktk hali hii unaweza kufa kwa BP.
Jamani vijana wenzangu tusishawishike na tamaa za muda.matatizo duniani yako lakini suluhisho sio ulevi (wa aina yeyote)
Mungu baba wewe ni muweza wa yote...msaidie huyu kaka.
 
Wabongo alie tuluga sijui ni nani....yani watu wanachangia kumkandia chidi ili hali wa kwenye picha si yeye.....hata kwa kutizama tu mmeshindwa tofautisha
 
ca1e448db42c696da16711ea3ca1d920.jpg
2b3adea7e48c76893a607c287cd3b48f.jpg
5508b0230bc9ba008b8938027ee661bd.jpg

Huyu hana u-BENZ tena; nitampendelea hata kumuita Chid-IST:-(
 
[emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom