mtoto wa mjin
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 589
- 566
Wanasema utamu wake...ni sawa na utam wa bao ukae nusu saa.....[HASHTAG]#usijaribu[/HASHTAG]Mara ya mwisho niliskia alikodisha chumba kwenye hotel kama sio gest ili apige sembe lake bila bugudha yoyote.....Watumiaji wanaumia wauzaji wanazidi kunenepa
Hii statehe ya madawa ni kama sex, kuacha ama kujizuia ni kazi