Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Halafu wanaouza wako mtaani tu wanaishi bila wasiwas
 
King Kong kawa Queen Kong,mikono vululu imekuwa mikono lululu
 
Atamfuata langa asipoangalia. Serikali iingilie kati
 
Dah ila ajabu kuna watu wamekaa chobingo nao wanaanza kujifunza kuvuta
 
hhahaha huyu naona alicho bakisha ni kufa tuu maana hata dish anaonekana limeyumba....
Chid kipindi amekamatwa na madawa ilibidi akae jela kama miaka minne kwanza.......
 
Daah, Naogopa sana kumtukana

"EDWARD LOWASSA"
 
Back
Top Bottom