Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

Nae q chief alikua mvutaji?
Mkuu upo sayari gani q chief na ray c walikuwa na hali mbaya wote ila raisi akaamua kumchukua ray c tu q chief akamuacha ila sasa hivi mbona kaacha na yupo poa tu abubakari qatwila
 
Aendelee tu kujidunga hadi atakapochoka au kifo kitakapomuita.

Kwanza watu wanamfariji kwa kumtaabisha ndiyo maana na yeye ameamua kuwa kichwa ngumu teh teh......unga anaupenda na hatoacha bora kifo kimchukie ila si kuacha unga.

Sifurahii anayopitia kwasababu ingeweza kuwa mimi au mtu yoyote tu lakini kwasababu fulani haijawa hivyo imekuwa kwa Chid Benzi.

Huyo jamaa hawezi acha msaidieni ku-break circle ya friends na wadau wengine anaotumia nao hizo drugs
 
Kama kweli huyu jamaa kafika stage hii, anatakiwa msaada wa haraka sana, kila nikivuta kumbukumbu alipokuwa na crew yake ya La familia siamini kama ni yeye!
 
Aendelee tu kujidunga hadi atakapochoka au kifo kitakapomuita.

Kwanza watu wanamfariji kwa kumtaabisha ndiyo maana na yeye ameamua kuwa kichwa ngumu teh teh......unga anaupenda na hatoacha bora kifo kimchukie ila si kuacha unga.

Sifurahii anayopitia kwasababu ingeweza kuwa mimi au mtu yoyote tu lakini kwasababu fulani haijawa hivyo imekuwa kwa Chid Benzi.

Huyo jamaa hawezi acha msaidieni ku-break circle ya friends na wadau wengine anaotumia nao hizo drugs
hivi akihifadhiwa jela kwa miaka3 je hatoacha?mm napendekeza apelekwe huko japo kwa miaka3 akirudi atakuwa umeshasahau habari za unga
 
Kuna watu wanaua wauza unga nyie mnawashangaa.

China muuza unga anapigwa risasi ya kichwa hadharani na ma afisa wa polisi kama maonyesho ya kutuma message kwa wengine.

Haya raisi wa ufilipino yeyeana ghost squad kwa ajiri ya kubinya kimya kimya wauzaji wa haya maunga.tunamshangaa pia kwanini anafanya hivi.

Indonesia nao kama china, unapigwa risasi ufe tu.

Kifupi sijaona kama kweli tumeamua kukataa haya madude, serikali au taifa kwa ujumla.
 
hivi akihifadhiwa jela kwa miaka3 je hatoacha?mm napendekeza apelekwe huko japo kwa miaka3 akirudi atakuwa umeshasahau habari za unga
Maisha ya jela atakufa kwa alosto hahaa [emoji3]

Chakufanya ni kusaidia kubreak circle na friends zake wanaomsaidia kupata dose.

Lakini pia anahitaji ushauri toka kwa watu wakini....tena ahamishwe kabisa na mkoa aje Arusha avute ganja toka Olkokola na kuchunga ngo'mbe basi ....hahaaa [emoji4]
 
Kuna video clip inasema chidi hasaidiki na hajakubali kuacha madawa na pia mama yake yamemshinda kuongea nae so mtulie kama wao ndugu wameongea nae imeshindikana sisi tutafanya Nini?
 
Mwenyewe mbona anafurahi? Hahaaa hii mambo inasikitisha na kuchekesha.

Na huo mkono anafanyaje tena? Au sehemu ya kujidunga imekuea kidonda?

Wamuhamishe mkoa huyo jamaa hapo inaonesha watu wanamsanifu tu badala yakumsaidia.
 
wapo wengi tu sio chid pekee,je kina ferouz na daz baba,au kina kallah Mullah bado wengne wengi tu....
 
Babu tale ameiweka hadharani kuwa hawezi kumsaidia tena .....!!

Kwa fikra na mtizamo wangu watu wa namna hii huwa na faraja zaidi wanapo ona na kuhisi ni mtu mmoja ama nafsi moja inayopigana USIKU na MCHANA katika harakati kuhakikisha kwa namna moja wanaachana na matumizi dhidi ya MADAWA YA KULEVYA....Chidi atazidi kutumia madawa coz amehisi BABU TALE kuwa "disapointed" kwake ...,.,.


Hii ni the same na RAY C...

WATU WA NAMNA HII WANAHITAJI SAPOTI MWANZO MWISHO..

@ Mgodo @[hash tag] LET NEVER GIVE UP TO CHIDI AND FRIENDS...
 
Back
Top Bottom