Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mama yake yukoje mkuuUngemjua mamake chid usingemuhurumia kbs inawezekana siku za mwanzo alikua anamnunulia kabisa hakujua mambo yatakua hivi
mama yake yukoje mkuuUngemjua mamake chid usingemuhurumia kbs inawezekana siku za mwanzo alikua anamnunulia kabisa hakujua mambo yatakua hivi
Durtete is my role mode.Tunaweza kukomesha hili tatizo kama tukimpa durtete uwaziri wa dunia katika hayo maswala ya kubwia na kulangua
Chid benziNO
Nasikia uko sober house alitoroka akasema hawajui kutibu mateja na alitaka Tale na Pina wawe wanaenda kumsalimu kila siku. Ata aliporudi mtaani walimchukua tena wampeleke sober house nyingine akatorokea wakiwa njiani. Sidhani Kama tunapaswa kuwalaumu waliojaribu kumuokoa huyu mchizi, maybe anakula jeuri yake.Kalapina na Babu Tale Msaidieni Kijana Mwenzenu Rashid Makwiro,Najua mlijitoa hawali lakini tambueni chud siyo akili yake hiyo ni nguvu ya madawa ndio inayomfanya hivyo mpelekeni Rehab na akae si chini ya miaka miwili,najua watu mkitoa namba ya michango watu watatoa kumsaidia CHi chi chi chid Benz La Familiiiiaaaaaa Ilalaaa Ilaaaaaaa Mikono Mfululu yani pa papa papa wamekaaaaaaaaaaaaaaaa.
Chid Before.
View attachment 452129
Chid After
View attachment 452133
Alikua anamsapoti kwa mambo ya kijinga sanamama yake yukoje mkuu
We pusha wake vumilia tu huyu bado mteja wakoAcheni kumdharirisha