Rashid Matumla , Bingwa wa ndondi na shujaa wa Taifa aliyegeuka Janga.

Rashid Matumla , Bingwa wa ndondi na shujaa wa Taifa aliyegeuka Janga.

Kuna mtoto wake mmoja alizaa na mke mdogo alikuwa rafiki yangu sana enzi za utoto wetu tulikuwa pamoja sijui yupo wapi siku hizi
 
Hakuna asiyeufahamu umahiri wa Rashid Matumla katika ndondi , huyu ni kati ya mabondia wachache sana walioliletea Taifa hili heshima kubwa sana .

Lakini kama ilivyo ada , katika kila jema kuna upande wa pili wa mabaya , Baada ya kupata umaarufu ule , Rashidi akaamua kuzaa watoto wasio na idadi , mithili ya kufyatua matofali kwenye mashine ya umeme .

Ana watoto zaidi ya 10 , ambao ameshindwa kuwatunza na wamegeuka WAKABAJI , ( Mkazi yeyote wa keko anaweza kuthibitisha )

Ukabaji ninaoumanisha hapa ni ile tabia ya vijana vibaka na mateja maeneo ya uswahilini , kuamua kuvizia na kuwakaba na kupora mali za wananchi , hadharani na gizani , kwa maana nyingine ni kwamba Rashid Matumla ameleta kundi la wakabaji kwenye mitaa ileile aliyokuwa akisifiwa kwa ushujaa wake , jambo linaloleta aibu kwake mwenyewe na kwa wote waliomsaidia kuwa bingwa .

Wito kwa wanamichezo wa Tanzania kuweni makini sana na umaarufu wa kupita , angalieni mbele zaidi , msije dhalilika kama Rashid
Msitirii mzaziiimwenzioo jamani
 
Hawana ujuzi wowote ule utawasaidiaje ? Ni hivi , vijana wengi wa Keko Magurumbasi , Keko Mwanga , keko Machungwa na Keko Torori mwisho wa elimu yao ni darasa la 7 tu .
Tulianza kuishi keko machungwa tukaamia keko mwanga kisha baadae tukaenda magurumbasi baadae MZEE akapata NYUMBA lugalo jeshin tukaenda huko....miaka ya 1998 ..ninschokumbka kuchomwa MTU moto alfajir ilikuwa jambo la kawaida mno...kwa WK unaweza kuta wa3 kiberiti.....Kuna jamaa alikuwa akitaka kuja anatoa NA taarifa kabisa wanadai alikuwa anatumia hiriz maana uunaweza mkimbza akikata kona tu hamumuoni tens.....Nimepa mic sana
 
Huyu jamaa nilipomuona hopeless ni pale alipotoka kuumwa akaomba watanzania waisaidie familia na ukoo wao hela za matumizi ya kila siku sasa sijui wakati ule wanakula mema ya ndondi sijui kama walijaribu hata kuwasaidia wasiojiweza.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Ila ikumbukwe laana ya huyu matumla haitamuacha Salama malinzi, analia sana kuhusu huyo MTU, alikuwa ni promota wake na kwa kutumia udhaifu Wa elimu akamnyonya sana
 
Ila ikumbukwe laana ya huyu matumla haitamuacha Salama malinzi, analia sana kuhusu huyo MTU, alikuwa ni promota wake na kwa kutumia udhaifu Wa elimu akamnyonya sana
Nimeishia kucheka tu , Rashidi alivyokuwa anachekelea zile Toyota Mark 11 mayai alizopewa alidhani zitadumu hadi lini ?

Amevuna alichopanda .
 
Ukabaji keko ni miakq hyo kwa sasa ukabaji upo lkn ni kama maeneo mengine tu ya dar. Kumlaum snakeboy eti kaleta janga nadhan ni kutomtendea haki snakeboy, wtt wake ambao ni watukutu wapo wawil tu daud na musa na hawajashindikana ss cjui unapata wap haki ya kusema eti kaleta janga
 
Back
Top Bottom