Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya ajabu sana Haya, cha kushangaza wengi wanakimbilia CCM😅😅 Watu wanachezea sana maisha ya wananchi, yaani ubunge umekuwa kama kazi ya utani utani hivi..
hivi vyama vinaokoteza wagombea hasa CUF.Kupitia CUF au ACT!
Mbeya ya Dar au ya CHATO?Tulia ana subiri kuapishwa tu Mbeya
🤣🤣🤣" Mimi nimezaliwa Kisarawe lakini Ilala pia ni nyumbani kwa baba yangu, nimeamua kugombea hapa Ilala kwa sababu ninaijua vizuri, nimeona nisimpe presha mdogo wangu Selemani Jafo, na kusema kweli kwanza simuwezi ." - Kingwendu.
Wajinga ndio waliwaooo[emoji28][emoji28] Watu wanachezea sana maisha ya wananchi, yaani Ubunge umekuwa kama kazi ya utani utani hivi..
Hahahaa nilikuelewa ila nimeweka msisitizo tu.Kwani hapo juu niliposema kuwa Bange / Bangi ni mbaya sana Mkuu ulikuwa bado tu hujanielewa? Watu wa Mbagala waache Kumvutisha hili Jani.
Ndio maana bunge limepoteza dira na mwelekeo na kubaki kama rubber stamp sasa.😅😅 Watu wanachezea sana maisha ya wananchi, yaani Ubunge umekuwa kama kazi ya utani utani hivi..
Cuf.Kupitia CUF au ACT!
Sasa hapo utani uko wapi na mtu kachukua form? Usihusianishe kazi yake ya uchekeshaji na maisha yake halisi.[emoji28][emoji28] Watu wanachezea sana maisha ya wananchi, yaani Ubunge umekuwa kama kazi ya utani utani hivi..
Kwa tuliopo Mbeya.. Ni kwamba ushindi wa Tulia upo nje nje... Namshauri Sugu asipoteze hela yake bureWengine wanashika nafasi wakipewa mshiko wanajiengua juu juu.
Napenda sana Tulia ashinde mbeya. Ninamwombea ashinde
Kati ya majimbo magumu kabisa kwa CCM, namba 1 ni Mbeya.Wengine wanashika nafasi wakipewa mshiko wanajiengua juu juu.
Napenda sana Tulia ashinde mbeya. Ninamwombea ashinde
Ana tulizwa mapema kabisa kama jina lake lilivyo!Kwa tuliopo Mbeya.. Ni kwamba ushindi wa Tulia upo nje nje... Namshauri Sugu asipoteze hela yake bure