Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora Kingwendu NgwendulileSasa kingwendu na gwajima bora nani?
Utamuapishia chumbani kwakoTulia ana subiri kuapishwa tu Mbeya
Kinondoni yupo Mwanaume wa Kino Nabii TittoAngeenda kinondoni akakutana na De Shika
Huwa unachomanae?Bange/ Bangi za Mbagala ama hakika zinamuharibu kweli kweli huyu Kingwendu. kungekuwa kutolewa Tuzo na Uvutaji angezichukua sana tu.
Hukuwepo wewe kisarawe 2015...kuanzia kazimzumbwi,sungwi,masaki,kanga,maneromango,msanga....mpaka chole samvula kingwendu alichakaza kweli kweli.....nadhani katumia uungwana tu kumtoa waziri.....yeye pia waziri anajua mziki wa kingwendu.........Hahaha! Kingwendu si wa kumpa pressure Jaffo.
Siji sahau siku ile zinavuma usiku kingwendu amechukua Jimbo Asubuhi kijani wapo mtaaniHukuwepo wewe kisarawe 2015...kuanzia kazimzumbwi,sungwi,masaki,kanga,maneromango,msanga....mpaka chole samvula kingwendu alichakaza kweli kweli.....nadhani katumia uungwana tu kumtoa waziri.....yeye pia waziri anajua mziki wa kingwendu.........
Rekebisha mkuu uyo sio mwanaume!Kinondoni yupo Mwanaume wa Kino Nabii TittoView attachment 1501091
Hiyo yote inatokana n upuuzi/ujinga wa wananchi, kwa kuona kuwa ubunge umekuwa sio sehemu ya kuwasemea, matatizo yao, bali ni sehemu ya kwenda kuchuma!! Na hakuna tofauti ya mbunge kuwa prof. Au std seven wote michango yao ni ile ile tu!!! KOSA KUBWA NI PALE AKILI KUBWA INAPOKUBALI KUONGOZWA NA AKILI NDOGO. ndio imetufikisha hapa.😅😅 Watu wanachezea sana maisha ya wananchi, yaani Ubunge umekuwa kama kazi ya utani utani hivi..
Ndungai alivyoendesha Bunge la 11 ndiyo amefanya ubunge uonekane ni comedy tu na bungeni ni kijiwe cha kwenda kupigana vijembe.[emoji28][emoji28] Watu wanachezea sana maisha ya wananchi, yaani Ubunge umekuwa kama kazi ya utani utani hivi..
Nawe bado uko mavumbiniJaffo utampa tu ' Presha ' kama na Wewe Mgombea Mwenzake utakuwa ' Kigagula ' wa Kutukuka kama alivyo Yeye na anavyopenda kweli kweli tu.
Lakini kwasasa Jaffo lango la ushindi lipo nje nje, huwambii kitu wazaramo, yaani anafagia ushindi kuanzia Kazimzumbwi hadi Vikumburu huko.Hukuwepo wewe kisarawe 2015...kuanzia kazimzumbwi,sungwi,masaki,kanga,maneromango,msanga....mpaka chole samvula kingwendu alichakaza kweli kweli.....nadhani katumia uungwana tu kumtoa waziri.....yeye pia waziri anajua mziki wa kingwendu.........