Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

Status
Not open for further replies.
Angalia ya wenzetu..

Chini hapa ni jirani zetu Kenya

National Security Intelligence Service (NSIS)

The NSIS brief, like all other intelligence organisations, is to gather and exploit secret information. It identifies conditions that threaten Kenya's political, economic and social stability. It subsequently develops opportunities and strategies to neutralise such threats.

NSIS intelligence gathering work includes: internal, external and strategic intelligence. NSIS is divided into seven sections:

1. Administration
2. Information technology
3. Internal intelligence
4. External intelligence
5. Economic affairs
6. Operations
7. National Intelligence Academy

Security of tenure given the director of NSIS is designed to protect him from such abuse by members of the governing elite. He has the opportunity to say 'no' to any unlawful or sectarian instructions from his bosses without fear of losing his job.

The position of intelligence boss is, therefore, crucial in maintaining democratic balance and, in Kenya's case, from taking it back to the torture chambers.
 
Icadon, mjadala huu lazima ufikie mahali uwe chachu ya mabadiliko katika Idara zetu za intelligensia. Lengo la kubadilishana mawazo hapa siyo kuwaumbua bali kuonesha udhaifu wao na ni kwanini wanahitaji kubadilika au kubadilishwa.

Kama kiongozi wao haoni mapungufu hayo na hajaona sababu ya kufanya mabadiliko ya kisheria na muundo basi yeye mwenyewe hafai kuongoza taasisi hiyo.
 
Nafikiri sisi tunafanya makusudi kabisa kuzembea kuwajibika na kurekebisha Sheria zetu au mfumo wa Katika yetu ili Uhujumu na Uharamia uendelee kwa kisingizio cha baadaye kuwa Sheria na Katiba zilikuwa na mapungufu, lakini sasa hivi ukiwaambia Serikali na CCM wanadai hakuna lililoharibika.

Siku wananchi watakapojichukulia hatua mikononi, nafikiri ndio siku hawa watawala watajifunza.

Ugumu wa mioyo na akili zao kufanya lilie lililobora kwa Taifa ni sawa na maandiko yalivyotabiri.. "nitaifanya mioyo yao iwe migumu..."!
 

Katiba yetu inaweka wazi maswala ya responsibility na accountability?

Mabadiliko TISS ni swala muhimu sana inabidi kuimodernize ili kuiwezesha kudeal na hali ya dunia ya leo.
 
Ni vizuri kama tunafahamu kuwa idara hii ya serikali imekwenda astray. Kweli kama ningekuwa mkuu wa idara hiyo na mambo yanayotokea Tanzania sasa kisiasa, ningebwaga manyanga, things would have not happened under my watch. Pamoja na kwamba kuna kufanya kazi kwa maelekezo kutoka juu, lakini vilevile mtu unatakiwa kuwa na conscience yako mwenye kuona umuhimu wa majukumu uliyobebeshwa, kama majukumu unayobebeshwa unaona yanakufanya ulinde uharibifu wa taifa, na wewe mwenyewe unakubali then unatakiwa uanze kujiuliza kama kweli wewe uko tayari kusimamia na kulinda uhalifu!
 
Mkuu FEMS,
Naomba samahani sana kwa kukushupalia kuhusu kumtetea RO na kisha kumgeuka. Baada ya kusoma kwa makini niligundua kuwa mtu uliyekuwa unamtetea sio RO ni Mzee Malecela.

Mkuu wangu heshima mbele, ahsante kwa kuziona hoja zangu za utetezi kwa kiongozi muadilifu, na sio utetezi wa viroja!
 
Mimi siko tayari kuwalaumu hawa maana kuna wengi TISS wazalendo
na wanahusika sana na kuhakikisha data zingine zinafahamika to expose uozo maana wanapenda nchi yao. Bila hawa wazalendo mengi yangekuwa magumu kutoka
 

Mkuu naomba fafanuzi...je unamaanisha NSIS is doing better than sisi?
 
Du... kweli tunasafari ndefu ya kuwang'oa mafisadi na wanowalinda.....JF ndio tunaolinda usalama wa Taifa, RO na team yake wanalinda MAFISADI..
 
Mkuu naomba fafanuzi...je unamaanisha NSIS is doing better than sisi?

Sijamaanisha hivyo, na sijui tutatumia kigezo gani kupima ufanisi wao na wa kwetu..Dhumuni langu lilikuwa ni kuweka na kushare muundo wa idara yao..
 
Sijamaanisha hivyo, na sijui tutatumia kigezo gani kupima ufanisi wao na wa kwetu..Dhumuni langu lilikuwa ni kuweka na kushare muundo wa idara yao..

Asante kwa jibu lako...mkuu ukiangalia muundo wa idara hizi katika nchi nyingi za kia Africa ilikuwa kulinda matakwa ya viongozi sababu kubwa ilkuwa ni chama kimoja ndio kina rule.

Ni mpaka ibadilishwe katiba au atokee kichaa mmoja kama J.Edgar Hoover
 

Baada ya cold war Intelligence and Security Organs nyingi duniani ziliundergo a major reform.

MKJJ, ukiangalia mfumo wa MOSSAD unaweza kupata jibu kwa nini tuna maafisa wa TISS kwenye balozi zetu...
 
Inatakiwa kuonyesha mfano kama Peru walivyofanya kumkamata Montesinos (Head wa Intelligence wao kwa ufisadi na makosa mengine) ile iwe mfano kwamba hawa jamaa ni binadamu na siyo above the law....---->(previous head wa TISS)...maana mambo yote haya yaliwagusa watu wa TISS under the previous admin.
 
Icadon,

Hawa jamaa wanahitaji reform za hali ya juu. Wao wanafikiri kujua Kung-Fu na Judo ndio ujanja.

Si ajabu wengi wao hata kutumia Computer na internet hawajui!
 
Oouuch! Reverend....

In fact hata hizo Jacki Cheni ni fix na they are always 3 steps behind. Waulize walikuwa wapi wakati Karume alipopigwa mtama Kampala!

Leo hii kila kitu ni high tech, brain work na si muscle work only na mikwara ya kuwa eti "sisi ni usalama wa taifa"!

Just imagine about a month ago wale jamaa wa DAWASCO walitishia kuweka sumu kwenye maji Ruvu Chini au Ruvu Juu. Tukajaza Maaskari mia kulinda vianzio, what about midway? kwenye Tengi pale Kimara tuliweka askari? ikiwa kila mtu anaweza jitobolea tundu kwenye Bomba kuu la maji kwenda Dar, ni kazi gani basi mtu kumwaga sumu pale Kibamba au Kimara Baruti?

Hivi hizi cheap contaminated products tunazoletewa kila siku kuna watu wa usalama ambao wameamka na kuwaambia Serikali na idara husika madhara ya hizi cheap product skwa usalama wa taifa letu? au watadai hilo ni jukumu la TBS na Wizara ya Viwanda?

Ikiwa Mzee Makamba alitoa msaada wa Mchele mbovu ambao aliamini kuwa ulikuwa ni bora, swali ni hili, wao TISS wanafanya nini kuchunguza hawa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa nchini na kupata utajiri marudufu ikiwa wanatuletea bidhaa bomu kila siku? Kwa nini hawafanyi upelelezi kisha wakawatonya Polisi?

Anyway, we are talking about RO na swala la Chenge, tufungue mada nyingine kuangalia jinsi gani hawa jamnaa wanapaswa kufanya reforms!
 

On the nail opppsss on the head! na nimeiongezea font size
 
Icadon,

Hawa jamaa wanahitaji reform za hali ya juu. Wao wanafikiri kujua Kung-Fu na Judo ndio ujanja.

Si ajabu wengi wao hata kutumia Computer na internet hawajui!

mkuu hapo nawatetea mbona hapa JF wamejaa kila siku wanaTANDAWAA ktk JF kujua kulikoni.
 
mkuu hapo nawatetea mbona hapa JF wamejaa kila siku wanaTANDAWAA ktk JF kujua kulikoni.

Mhandisi,

Hawako hapa kujifunza na kujirekebisha! Wako hapa kutafuta nani kasema nini kuhusu Serikali, anakaa wapi na kamsema yupi wa Serikali!

Wamekaa mkao wa wambea kazi kuchukua habari na kusema ohh "vijana wana matusi" nope!

Kwanza ujinga wao na urahisi wao kutabirikia mtaounoa jinsi CCM inavyofanya kazi. Walipokwenda Butiama, unasikia wanasema Tutachapa maadniko ya Nyerere! Hii ilikuwa baada ya watu kukata ishu kuhusu Fikra na legacy ya Nyerere.

Kwenye mkutano wa Rais wa mwisho kwa Taifa, katujubu kihakika JF kuhusu Comorro ili aonekane analofanya ni la maana.

Mbona hawajajibu haya ya Ufisadi? Mbona hawajesma lolote kuhusu maafa yanayotuzingira?

Labda uniambie wale vijana wadogo wakiwasilisha nondo kwa wakubwa na zikifika kwa RO, zinakwama! Then it is justifiable for us to say RO has to go!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…