Ref:
http://www.jamboforums.com/showpost....6&postcount=41
na ukarudia kusifia tena hapa
Quote: Field Marshall ES
Mzee wa RO, hata siku moja siwezi kuja kwenye forum kuongelea mambo ya chooni huoni hata aibu kuandika maneno low kiasi hicho kwenye chombo hiki cha kimataifa? Wewe siku nyingi ninakuona una shida ya kuongelea Malecela sasa you got it lete, Sasa hivi the man is doing a great job na sina noma naye, na nimeshakutana naye mara kibao, taifa ni taifa sina mchezo na mtu!
Ref: http://www.jamboforums.com/showpost....6&postcount=60
1. "Sasa hivi the man is doing a great job" eti maana yake ni kumjua na kumfagilia? Hapana maaana yangu ilikuwa wananchi wengi wa kwenye idara waliokuwa wakimpinga, sasa wameanza kumkubali, na mimi sina noma kwa sababu nilikuwa simjui, lakini sasa nimeanza kumjua, the matter of fact "Finally nimekutana naye na hata kusalimiana naye", sasa hiii inanifanya niwe muongo mkuu?
Mkuu nina wasi wasi kuwa kuna mtu ameiba Code yako, maana kwa kawaida huwa una kichwa sana, as opposed na this nonesense!
Eti leo tena unadai humjui na unataka ajiuzulu. Are you the same ES au ni watu tofauti tofauti mnatumia ID moja?
Mkuu no way!, mimi ni yule yule Original SAM(BCS), Mzee ES, Komandoo ES, Field Marshall Super ES, wala sio wa fake ni yule yule, wananchi wengi tulimpigia kura rais Kikwete, unafikiri ni kwa nini tulimpigia kura? Kuna mpaka waliosema kuwa ni nabii kutoka mbinguni, unafikiri ni kwa nini walisema vile then? Kwa hiyo una maana malalamiko ya sasa against rais yanatoka kwa ambao hawakumpigia kura? Kwa hiyo kwa hizi standard zako za siasa ina maana wananchi wote waliompiga kura rais na CCM, wanaolalamika sasa ni waongo?
Lets, say kwamba nilimsifia kuwa anaweza kazi miaka miwili iliyopita, sasa leo sina haki ya kubadilika na kumuona hafai? Hivi ninahitaji hata kurudia sababu ya kumuona mkurugenzi wetu wa sasa wa usalama hafai na inatakiwa ajiuzulu? Mbona niliposema Lowassa, ajuizulu hukuwa na tatizo? Mbona nilipokuwa ninasema Chenge ajiuzulu hukuwa na tatizo? Kwa nini kwenye huyu mkurugenzi wa usalama una tatizo?
Nawaonea huruma wanaoendelea kukubali ‘data' zako. Labda leo uwasaidie hawa unaowadanganya hapa as to what did RO do to impress you to the extent of kumfagilia as quoted above.
Piga madongo panapostahili, bila kuleta uongo. Utaheshimika that way!!!
Hivi kweli wewe unaweza kuongelea habari za uongo na ukweli, je uliyoyafanya kwenye uchaguzi wa wa-Tanzania, unafikiri hatujui? Ya kuwadanganya wa-Tanzania kuwa unataka kuwa mwenyekiti wao, kumbe unazuga tu ni kibaraka wa balozi ili uharibu kura apite mtu wa balozi! Sasa wewe kweli una-qualify kuongelea ukweli na uongo na unafiki wa wengine? Wewe unajua ni kwa nini watu huko hawataki chama cha wa-Tanzania? Unajua chanzo chake ni nini? Hujui kwamba wengi wao walikatishwa tamaa na wewe na matendo yako wakati wa uchaguzi?
Untaka dataz za namna gani tena mkuu? Hapo ndugu zako wamelala macho kumsubiri rais nikawaambia kuwa haji, kuna waliobisha, je alikuja? Nikaawambia badala yake anaenda US kuna waliobisha, je hakwenda?
Heshima? wewe unayo mkuu? mimi tena niongelee heshima yangu, hivi kweli ninahitaji kwenda hiyo avenue ya heshima na mimi? Halafu kama kawaida ya hii forum kuna mpaka waliokushangilia are you kidding me? hizi skeleton utagombea uongozi wapi tena? Tanzania? CCM?
Sababu ya kumkataa mwanzoni mkurugenzi wa usalama nimezisema, kwamba ilikuwa ni kutokubalika kwake huko ndani, na nilipokubali nimesema wazi kuwa ni kwa sababu ya kukubalika huko ndani, kwamba nilikuwa simjui nimesema wazi na naneo "Finally nimekutana naye", sasa uongo wangu hapa uko wapi?
Mkuu again, sina any personal problem na mkurugenzi wa usalama, lakini nina tatizo na utendaji wake wa kazi kwa taifa, na ninaungana na muanzisha hii mada kwamba sasa ni wakati muafaka ajiuzulu, kwa kushindwa kumfahamisha rais mapema, ili asichague viongozi mafisadi, na pia kwa kushindwa kufuatilia hoja za Dr. Slaaa, kuhusiana na viongozi mafisadi, Chenge akiwa mmojawapo.
Otherwise, ninakutakia marudio mema hapa JF, na jaribu kuepuka personal attacks, maana sasa ninakujua sana kuliko then, lets stick to the ishu, hiyo sina tatizo kulumbana na wewe, ila ninasikitika sana kwamba psot yako ya kwanza umaeamua kunishambulia personal zaidi kuliko ishu, kwangu huu ni mjadala muhimu sana kwa taifa langu, na ningependa wananchi wengi wauone ili waamue pumba ziko wapi na mchele ulipo, na mimi binafsi kama nilivyoahidi ninasubiri uishe nianze kukusanya points za kuzipeleka mbele zaidi kwa ili zifanyiwe kazi.
Ahsante sana mkuu, na karibu tena!