Rashida Wanjara amegoma kuzeeka

Hahahah sasa aliyekwambia kama ukijitunza huzeeki nani..

Mtu kuzeeka haraka au kutozeeka haraka kwa kiasi kikubwa inategemea na genetic zake na ukoo wake..

Kama baba au mama yako at 50 teyri alishazeeka usitegemee wewe utakuwa na young at 70...

Ndio maana waswahili wanasema "unaudongo mzuri" maana yake mwili hauzeeki haraka...
 
"...yalisemwa mengi demu wangu alipotoroka (Rashida Wanjara), ni fundisho tosha na changamoto kwa mwanachoka....." KIPI SIJASIKIA by Prof Jay.

Long live SHIDA WANJARA shangazi la 'Bunyero Bunyero'. Since old skul pale Jiteute hadi leo hii you still balling downtown. 😎

-Kaveli-
 
Picha uliyoweka haina quality ya kuweza kujua muonekanano wa sasa wa huyo Rashida...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…