Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tokea juu nimeona unasema stress za ngono!
Kwamba Rashda yeye hafanyi sana? Unamjua Rashda lakini🤔
Ngono haihusiani na chochote udongo nfio unamatter
Hahahah sasa aliyekwambia kama ukijitunza huzeeki nani..Wakuu katika harakati zangu za kutafuta chakula cha macho mara nakutana na Rashida wanjara.
She is still looking young and energetic kumbe wakuu kujitunza muhimu
Maana Dada zetu wengine wamezaliwa 2000s Ila wameshaisha .
Siri anasema ni kuweka balance katika mambo yote
"Ningekuwa",nimepokea mkuu ushauri wako na nimeanza kuufanyia kazi.Hata mimi nadhani ungekua unaweka vituo kwenye sentensi zako mkuu.Ushauri wako ni mzuri.
Kwamba njaa imechangia🙌.We nae utakuwa tu una hamu ya kugegeda haujapata mzigo muda mrefu.
Sawasawa.Kiswahili cha kimazoea kitakupoteza mkuu.Kwa mfano;Unaweza kuandika..."kukuambia" au ..."kukuwambia"...?Ni kazi "kwako" au kazi "kuwako"?"Ningekuwa",nimepokea mkuu ushauri wako na nimeanza kuufanyia kazi.
Ni kweli…
Vyote mumo kwa pale.To stay young is genetics or lifestyles?
Zote mkuu…To stay young is genetics or lifestyles?
Zote mkuu…
Ila kikubwa genetics.
Hii inaweza ikawa sababu, though sikuendelea na biology katika further studies zangu... Mtu kuzeeka haraka au kutozeeka haraka kwa kiasi kikubwa inategemea na genetic zake na ukoo wake.....
Ndio nawashangaa hawa,watu wamemtafuna sana huyu bint akiwemo prof JTokea juu nimeona unasema stress za ngono!
Kwamba Rashda yeye hafanyi sana? Unamjua Rashda lakini🤔
Ngono haihusiani na chochote udongo ndio unamatter
MkuuHadi matiti yake bado yamesimama
Amemuona Live Ama Kamuona Mitandaoni Na Pictures Za KuoshaTokea juu nimeona unasema stress za ngono!
Kwamba Rashda yeye hafanyi sana? Unamjua Rashda lakini🤔
Ngono haihusiani na chochote udongo ndio unamatter