Rasimalimali za nchi ni muhimu kulindwa na kila mtu , uwanja wa Taifa ni miongoni mwa rasimalimali muhimu Kwa maendeleo ya vipaji vya soka

Rasimalimali za nchi ni muhimu kulindwa na kila mtu , uwanja wa Taifa ni miongoni mwa rasimalimali muhimu Kwa maendeleo ya vipaji vya soka

kahembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
227
Reaction score
310
Niende Moja Kwa Moja kwenye maada ujenzi wa uwanja wa mpira ni gharama kubwa sana lakini inauma sana kuona Watanzania wachache Wana haribu nyenzo zilizipo ndani ya uwanja huo.

Mashabiki wa Klabu ya Simba siyo mara ya kwanza kufanya uharibu wa miundo mbinu Kwa uwanja wa TAIFA. Hivyo Kwa kitendo walichokifanya Jana naomba (KLABU YA SIMBA NA MASHABIKI WAO) WAFUNGIWE MILELE KUTOTUMIA UWANJA WA TAIFA.

Hii italeta funzo Kwa Mashabiki wote na Klabu zao kuhemeshimu rasimalimali za TAIFA

Pia Adhabu kama hiyo itapelekea Klabu kuweza kujenga viwanja vyake.

Mwisho uwanja wa TAIFA umejengwa Kwa Kodi za wa Tanzania hivyo tuna teseka kuona kuona Kodi zetu zinachezewa na kikundi cha watu wachache..

Kama wanaweza waende wakafanye hizo vurugu zao kwenye uwanja wa AZAM COMPLEX
 
Huu uhuni hatutakiwi kwenye TAIFA letu ..👇👇
 

Attachments

  • 5904887-84bb842e2e0acee1a4956be004fe2bd5.mp4
    3.9 MB
Haya kumbe una point mkuu wakati timu yako yanga ina point moja tuu.

Lubumbashi na sikia mlibakwa
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye maada ujenzi wa uwanja wa mpira ni gharama kubwa sana lakini inauma sana kuona Watanzania wachache Wana haribu nyenzo zilizipo ndani ya uwanja huo.

Mashabiki wa Klabu ya Simba siyo mara ya kwanza kufanya uharibu wa miundo mbinu Kwa uwanja wa TAIFA. Hivyo Kwa kitendo walichokifanya Jana naomba (KLABU YA SIMBA NA MASHABIKI WAO) WAFUNGIWE MILELE KUTOTUMIA UWANJA WA TAIFA.

Hii italeta funzo Kwa Mashabiki wote na Klabu zao kuhemeshimu rasimalimali za TAIFA

Pia Adhabu kama hiyo itapelekea Klabu kuweza kujenga viwanja vyake.

Mwisho uwanja wa TAIFA umejengwa Kwa Kodi za wa Tanzania hivyo tuna teseka kuona kuona Kodi zetu zinachezewa na kikundi cha watu wachache..

Kama wanaweza waende wakafanye hizo vurugu zao kwenye uwanja wa AZAM COMPLEX
Utopolo ongelea mikataba mibovu ya bandari,sekta ya madini,mbuga za wanyama,ukosefu wa madawati mashuleni, watoto mia tatu ndani ya darasa Moja,huduma mbovu katika hospitali za serikali huku gharama zikiwa juu, Uchaguzi wa magumashi.......viti vya uwanja wa taifa hata Mzee Magoma anaweza kulipa!!
 
simbaa wanakojozwaa
FB_IMG_1701799662674_7.jpg
 
Hivi taarifa uliielewa vizuri,walioharibu miundo mbinu ni mashabiki wa timu pinzani(waarabu)
Sasa hapo simba wanahusikaje
Acha kukurupuka
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye maada ujenzi wa uwanja wa mpira ni gharama kubwa sana lakini inauma sana kuona Watanzania wachache Wana haribu nyenzo zilizipo ndani ya uwanja huo.

Mashabiki wa Klabu ya Simba siyo mara ya kwanza kufanya uharibu wa miundo mbinu Kwa uwanja wa TAIFA. Hivyo Kwa kitendo walichokifanya Jana naomba (KLABU YA SIMBA NA MASHABIKI WAO) WAFUNGIWE MILELE KUTOTUMIA UWANJA WA TAIFA.

Hii italeta funzo Kwa Mashabiki wote na Klabu zao kuhemeshimu rasimalimali za TAIFA

Pia Adhabu kama hiyo itapelekea Klabu kuweza kujenga viwanja vyake.

Mwisho uwanja wa TAIFA umejengwa Kwa Kodi za wa Tanzania hivyo tuna teseka kuona kuona Kodi zetu zinachezewa na kikundi cha watu wachache..

Kama wanaweza waende wakafanye hizo vurugu zao kwenye uwanja wa AZAM COMPLEX
Vurugu mlizofanyiwa CONGO mbona hamposti?
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye maada ujenzi wa uwanja wa mpira ni gharama kubwa sana lakini inauma sana kuona Watanzania wachache Wana haribu nyenzo zilizipo ndani ya uwanja huo.

Mashabiki wa Klabu ya Simba siyo mara ya kwanza kufanya uharibu wa miundo mbinu Kwa uwanja wa TAIFA. Hivyo Kwa kitendo walichokifanya Jana naomba (KLABU YA SIMBA NA MASHABIKI WAO) WAFUNGIWE MILELE KUTOTUMIA UWANJA WA TAIFA.

Hii italeta funzo Kwa Mashabiki wote na Klabu zao kuhemeshimu rasimalimali za TAIFA

Pia Adhabu kama hiyo itapelekea Klabu kuweza kujenga viwanja vyake.

Mwisho uwanja wa TAIFA umejengwa Kwa Kodi za wa Tanzania hivyo tuna teseka kuona kuona Kodi zetu zinachezewa na kikundi cha watu wachache..

Kama wanaweza waende wakafanye hizo vurugu zao kwenye uwanja wa AZAM COMPLEX
Hata wakijenga vuwanja vya hao wenye tabia hizo wataenda kuharibu na huko
 
Back
Top Bottom