Rasimu ya Jaji Warioba ipelekwe kwenye kura ya maoni tupate katiba mpya

Rasimu ya Jaji Warioba ipelekwe kwenye kura ya maoni tupate katiba mpya

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Kwako Mhe Raisi

Naomba mswada upelekwe bungeni ili sheria itungwe kuwapa nafasi watanzania wapige kura ya maoni kwenye Ile rasimu ya katiba iliyoletwa na Jaji warioba.

Hakuna sababu ya kupoteza tena muda. Hakuna kikundi kingine chenye nguvu au mamlaka ya kubadilisha maoni ya wananchi.

Pia hii itakuwa heshima kubwa kwako na utaishi kwenye mioyo ya watanzania kama Abraham Lincoln alivyo kwa wamarekani. Hii ndio legacy inayodumu.

Asante.
 
Katiba pendekezwa imemaliza miaka 6, kuna mapendekezo mengine yameshaexpire , hyo inatakiwa iwekwe kwenye dustbin tuanze mchakato upya
 
Katiba pendekezwa imemaliza miaka 6, kuna mapendekezo mengine yameshaexpire , hyo inatakiwa iwekwe kwenye dustbin tuanze mchakato upya
Mkuu unaweza kuweka hapa yaliyopitwa na wakati?
 
Kwako Mhe Raisi

Naomba mswada upelekwe bungeni ili sheria itungwe kuwapa nafasi watanzania wapige kura ya maoni kwenye Ile rasimu ya katiba iliyoletwa na Jaji warioba.

Hakuna sababu ya kupoteza tena muda. Hakuna kikundi kingine chenye nguvu au mamlaka ya kubadilisha maoni ya wananchi.

Pia hii itakuwa heshima kubwa kwako na utaishi kwenye mioyo ya watanzania kama Abraham Lincoln alivyo kwa wamarekani. Hii ndio legacy inayodumu.

Asante.
Sasa tumeanza kuongea LUGHA moja, U made my Sunday. KATIBA mpya ni sasa. Amen
 
Kwako Mhe Raisi

Naomba mswada upelekwe bungeni ili sheria itungwe kuwapa nafasi watanzania wapige kura ya maoni kwenye Ile rasimu ya katiba iliyoletwa na Jaji warioba.

Hakuna sababu ya kupoteza tena muda. Hakuna kikundi kingine chenye nguvu au mamlaka ya kubadilisha maoni ya wananchi.

Pia hii itakuwa heshima kubwa kwako na utaishi kwenye mioyo ya watanzania kama Abraham Lincoln alivyo kwa wamarekani. Hii ndio legacy inayodumu.

Asante.
Naunga mkono hoja!
Rasimu ya Warioba ndo imebeba maoni ya umma..
Ile Katiba Pendekezwa ni utopolo batili wa kikundi cha watu fulani🙄
 
Kwako Mhe Raisi

Naomba mswada upelekwe bungeni ili sheria itungwe kuwapa nafasi watanzania wapige kura ya maoni kwenye Ile rasimu ya katiba iliyoletwa na Jaji warioba.

Hakuna sababu ya kupoteza tena muda. Hakuna kikundi kingine chenye nguvu au mamlaka ya kubadilisha maoni ya wananchi.

Pia hii itakuwa heshima kubwa kwako na utaishi kwenye mioyo ya watanzania kama Abraham Lincoln alivyo kwa wamarekani. Hii ndio legacy inayodumu.

Asante.
CCM watapinga mapema asubuhi, hata kabla ya jua kuchomoza! Kisa tu ilipendekeza uwepo wa Serikali tatu, badala ya hizi mbili za sasa.
 
Samia akisikia hivyo anajua urais bye bye. Akisikia hivyo ana pupuuu, puuu... Hawezi kuruhusu bila pressure kubwa. CHADEMA wasijidanganye.
 
Je! likaibuka kundi la watu na kudai hayo hayakuwa maoni ya wananchi bali yalichakachuliwa na tume? ndio maana Mama anasisitiza jambo la kwanza la muhimu ni kuaminiana kwanza.
Wakiibuka kutokea wapi? Waweke ushahidi mezani ili upimwe,
 
Samia akisikia hivyo anajua urais bye bye. Akisikia hivyo ana pupuuu, puuu... Hawezi kuruhusu bila pressure kubwa. CHADEMA wasijidanganye.
Kwanini uraisi uwe bye bye? Akipitisha katiba Ile ya Warioba atapendwa sana na watanzania na kura atazipata.
 
CCM watapinga mapema asubuhi, hata kabla ya jua kuchomoza! Kisa tu ilipendekeza uwepo wa Serikali tatu, badala ya hizi mbili za sasa.
Huwa sielewi ni kwa namna gani ccm wanaona hawatanufaika na katiba Ile
 
Nani aipende CCM? Unaishi nchi gani?
Ccm inapendwa bado hasa maeneo yenye umasikini na ujinga. Ila Samia akipitisha katiba mpya ya jaji warioba watu wengi hasa wasomi watamchagua. Ccm itapoteza zaidi kwenye wabunge.
 
Kwako Mhe Raisi

Naomba mswada upelekwe bungeni ili sheria itungwe kuwapa nafasi watanzania wapige kura ya maoni kwenye Ile rasimu ya katiba iliyoletwa na Jaji warioba.

Hakuna sababu ya kupoteza tena muda. Hakuna kikundi kingine chenye nguvu au mamlaka ya kubadilisha maoni ya wananchi.

Pia hii itakuwa heshima kubwa kwako na utaishi kwenye mioyo ya watanzania kama Abraham Lincoln alivyo kwa wamarekani. Hii ndio legacy inayodumu.

Asante.
Katiba ya 1977 bado inatufaa
 
Back
Top Bottom