Rasimu ya Jaji Warioba ipelekwe kwenye kura ya maoni tupate katiba mpya

Rasimu ya Jaji Warioba ipelekwe kwenye kura ya maoni tupate katiba mpya

Katiba pendekezwa imemaliza miaka 6, kuna mapendekezo mengine yameshaexpire , hyo inatakiwa iwekwe kwenye dustbin tuanze mchakato upya
Katibs pendekeza siyo ile ya Warioba, hii ni rasimu ya chenge,
Ya Warioba ni ya wananchi halisia kabisa.
 
Back
Top Bottom